Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Sasa wewe ndio mwanaume...wenzio wanalalama wanawake zao hawana msaada..[emoji23][emoji23]Binafsi mke wangu anafanya kazi lakini sijawahi mwambia achangie hata kitu kimoja i stand my self as a men
Sasa wewe ndio mwanaume...wenzio wanalalama wanawake zao hawana msaada..[emoji23][emoji23]Binafsi mke wangu anafanya kazi lakini sijawahi mwambia achangie hata kitu kimoja i stand my self as a men
Uyu ni mm kabsa kumuhudumia mwanaume kazi jaman me cku mbili tu ya tatu nakuona mzigo atakama unanitomba vzuri....
Binafsi mke wangu anafanya kazi lakini sijawahi mwambia achangie hata kitu kimoja i stand my self as a men
Uko sahihi kabisa na hii kitu hupelekea wanawake wengi tupate funzo .Mi nadhani kusaidiana sio jambo baya hasa kama mmekubaliana..
Unaweza kuta mnakubaliana vzr as wife ata cover expenses za nyumbani, chakula, umeme, maji na vingine alafu mume afanye maendeleo as ujenzi ada za watoto ( hii ni kama mume ana kipato kikubwa kumshinda mama)
Tatizo linakuja pale mume anaishia kunywa pombe na marafiki na kuhonga michepuko, maendeleo hayaonekani, hela yake haionekani, yuko radhi kupangia mchepuko full furnitured lkn mwanae anadaiwa ada shuleni, na mke anahangaika peke yake na familia. Hii inaumiza sana na wanawake wengi wapo kwny kundi hili.
Concept ya mwili mmoja inaishiaga madhabahuni tu.Ungelitazama kwa mtazamo tofauti usingeona kama unamhudumia mwanaume (kama mmeoana). Ungeona ni kama unajihudumia mwenyewe (coz mmeshakuwa mwili mmoja). Utaionaje sehemu ya mwili wako kuwa mzigo?
Kuchanganya na mke haifai, mi huwa nazungumzia contigencies.Hii ndio akili ....wachana na hao wanaotegemea kuchanganya na za mke.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maamuzi ya kibaharia hayoMrejesho.........Badala ya kwenda mbele ndo narudi nyuma!
Huyu mwenzangu ye kaajiriwa na serikali na mwisho wa mwezi sio haba. Tunakaa mikoa tofauti, Usiku wa kuamkia leo nikampa maneno matamtam sana ili nianze kuandaa mazingira ya kumuomba aniongezee laki na 10 ili niagizie vifaranga vipya kwenye mradi wangu maana bado haujaanza kutoa matunda. Nilipomwambia tu akaanza kuniambia ooh hela sina na wakati najua juzi kapokea mshahara.
Akiwa katikati ya mwezi hali mbaya huwa nafanya kila niwezalo nimtumie hata 50 ya matumizi kwa wiki ila yeye laki tu karuka viunzi.
Hapa najiona kama nimeruka stage kwenye maisha yangu, kutokana na kuoana na yeye now nashindwa hata kujilipua kwenda mbali kutafuta maisha, nakaa karibu nae ili niwajibike kama mwanaume kwake na kwa mtoto wetu lakini mwenzangu akipata hela anajiangalia sana yeye tu.
Sioni faida ya hii ndoa soon naongeza idadi ya single mothers mtaani.
Wanalalamika kuwa wake zao wamewaachia mzigo wote wa familia wakati pindi wanaoana walitegemea kusaidiana, mambo yamekuwa tofauti.🤣🤣🤣 nini mbaya chalyangu, hebu bonga nao?
Daah, mkuu kumbe umenisoma, basi kausha 🤫🤫🤫🤫🤫🤫Mkuu unajipia pande
Duuh baby hata wewe?🤔🤔🤔Na kwanini uulize pesa ya mwanamke inaenda wapi? Kutoa pesa yangu katika mchango wa familia ni mapenzi yangu sio kitu Cha lazima.
Ndo kama hivyo....tunaomba mrejesho
Maendeleo utayaona kwa wenzio tu. Yaani hata umeme ukiisha umsubiri mumeo ndio aje anunue?Sasa wewe ndio mwanaume...wenzio wanalalama wanawake zao hawana msaada..[emoji23][emoji23]
Be blessed aiseeKwa maisha ya sasa hivi ukimtegemea mume Kila kitu afanye yeye na mishahara yenyewe ya sasa hivi nusu mlingoti, maendeleo mtayasikia kwa watu
🤣🤣🤣🤣🤣 utaskia baba ndio ahudumie familia.Maendeleo utayaona kwa wenzio tu. Yaani hata umeme ukiisha umsubiri mumeo ndio aje anunue?
Ndo kama hivyo....tunaomba mrejesho