Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Umeme nitanunuaMaendeleo utayaona kwa wenzio tu. Yaani hata umeme ukiisha umsubiri mumeo ndio aje anunue?
Umeme nitanunuaMaendeleo utayaona kwa wenzio tu. Yaani hata umeme ukiisha umsubiri mumeo ndio aje anunue?
Baby pesa yangu chungu sanaDuuh baby hata wewe?[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23]Dah.. M mwenzenu nishaambiwa et 'Pesa yake imeunganikana na roho yake. Kwa hiyo akiitoa atakufaaa ' kwa hiyo nisahau kuhs pesa yake.
Ata hivyo namshukuru, maana mizinga kwangu ni hadithi. Na ananiheshimu km Mume japo bado nadundu izaaaa kitaaani
Hapo lazima mmoja kajifanya mjinga ili maisha yakwende.Ni mwaka wa nne huu na bado sijutii. Tunasaidiana kwa mengi, kuanzia matumizi ya nyumbani mpaka kwenye investments. Na hata bahati mbaya nikitangulia mbele za haki, Niko na confidence of more than 60% kwamba mtoto (watoto) wangu are in good hands.
Sio wewe umeoa waziri?
Mwanamke hatakiwi kumiliki hela
Baby huoni kama tutachelewa kufanya maendeleo kifamilia, manake kama mi nimekuruhusu ufanye kazi means nimekubali watoto wangu walelewe na beki tatu ili mi na wewe tusaidiane tuinue uchumi wetu kwa haraka siyo?Baby pesa yangu chungu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maamuzi ya kibaharia hayo
Kuna wengine ni wavaa suruwali tu, uanaume mchezo??? HehehehehehSasa wewe ndio mwanaume...wenzio wanalalama wanawake zao hawana msaada..[emoji23][emoji23]
Mama kanywe bia kreti mbili kwa mangi, ntalipa....... Eti lijitu lingine linawahi kusema zamu yako kununua chakula humu ndani, msiiiiiiiieeeewwwNa kwanini uulize pesa ya mwanamke inaenda wapi? Kutoa pesa yangu katika mchango wa familia ni mapenzi yangu sio kitu Cha lazima.
Nakazia hapa.... NAKAZIAAAAMwanaume kutegemea pesa kwa mwanamke Ni aibu mwanaume kamili haombi pesa kwa mwanamke na Wala hauliz pesa ya mshahara wa mwanamke.[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Huyo ni mvaa suruwali,Wanaume wanajisahau sana mtu anakukuta na kamshahara kako unaishi mwenyewe unapambana na shida zako from nowhere tu naye anataka aingie kwa bajeti eti apewe pesa nyie wanaume acheni kitonga .
Umemruhusu afanye kazi ulimkuta bila kazi??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baby huoni kama tutachelewa kufanya maendeleo kifamilia, manake kama mi nimekuruhusu ufanye kazi means nimekubali watoto wangu walelewe na beki tatu ili mi na wewe tusaidiane tuinue uchumi wetu kwa haraka siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwanaume kichwa cha familiaMi naona tunasaidiana usiku tuu kwenye lile tendo,Pesa yake sijui anatumia kwa waganga!
Kama unaweza kusimama peke yako kama mwanaume kwenye ndoa na bado ukaoa mwanamke anaye fanya kazi, Basi hakukua fair kwenye kuchagua mkeBinafsi mke wangu anafanya kazi lakini sijawahi mwambia achangie hata kitu kimoja i stand my self as a men
Duuh bibie hata kutumia tafsida kidogo kweli?Uyu ni mm kabsa kumuhudumia mwanaume kazi jaman me cku mbili tu ya tatu nakuona mzigo atakama unanitomba vzuri....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] subiri shambulioKuna wengine ni wavaa suruwali tu, uanaume mchezo??? Heheheheheh