Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] subiri shambulio
Nimekaa hapa nawasubiri kwa hamu.... Najua watanishukia tu kama mwewe bahati nzuri hili jeshi la mtu mmoja ngoja waje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uyu ni mm kabsa kumuhudumia mwanaume kazi jaman me cku mbili tu ya tatu nakuona mzigo atakama unanitomba vzuri....
Hata mimi siwezi nimewahi acha wanaume wa3,wenye tabia hizo,nilitoa day one ,ya pili ya tatu naondoka kimyakimya akiuliza tatizo nini sijibu,simu sipokei ndo kadhaachwa hivyo.na mwanaume wa hivyo unado naye siku moja tu akianza kulia njaa hata huduma ya papuchi nasitisha,siwezi lea mariooo,mtusamehe jamani mwanaume majukumu babu weeeh
 
Mrejesho.........Badala ya kwenda mbele ndo narudi nyuma!

Huyu mwenzangu ye kaajiriwa na serikali na mwisho wa mwezi sio haba. Tunakaa mikoa tofauti, Usiku wa kuamkia leo nikampa maneno matamtam sana ili nianze kuandaa mazingira ya kumuomba aniongezee laki na 10 ili niagizie vifaranga vipya kwenye mradi wangu maana bado haujaanza kutoa matunda. Nilipomwambia tu akaanza kuniambia ooh hela sina na wakati najua juzi kapokea mshahara.
Akiwa katikati ya mwezi hali mbaya huwa nafanya kila niwezalo nimtumie hata 50 ya matumizi kwa wiki ila yeye laki tu karuka viunzi.
Hapa najiona kama nimeruka stage kwenye maisha yangu, kutokana na kuoana na yeye now nashindwa hata kujilipua kwenda mbali kutafuta maisha, nakaa karibu nae ili niwajibike kama mwanaume kwake na kwa mtoto wetu lakini mwenzangu akipata hela anajiangalia sana yeye tu.
Sioni faida ya hii ndoa soon naongeza idadi ya single mothers mtaani.
Hahahahah poleee ulioa kazi ya mwanamke?
 
Hata mimi siwezi nimewahi acha wanaume wa3,wenye tabia hizo,nilitoa day one ,ya pili ya tatu naondoka kimyakimya akiuliza tatizo nini sijibu,simu sipokei ndo kadhaachwa hivyo.na mwanaume wa hivyo unado naye siku moja tu akianza kulia njaa hata huduma ya papuchi nasitisha,siwezi lea mariooo,mtusamehe jamani mwanaume majukumu babu weeeh
Hahahhaaaaa!! Nadhan hyo papuchi imekuwa junction!
 
M'mke kukusaidia ni uamuzi wake siyo lazima. Hvyo usitegemee sana ela ya m'mke maan itakuvunja moyo. Kumuhudumia ni wajibu wako
Mrejesho.........Badala ya kwenda mbele ndo narudi nyuma!

Huyu mwenzangu ye kaajiriwa na serikali na mwisho wa mwezi sio haba. Tunakaa mikoa tofauti, Usiku wa kuamkia leo nikampa maneno matamtam sana ili nianze kuandaa mazingira ya kumuomba aniongezee laki na 10 ili niagizie vifaranga vipya kwenye mradi wangu maana bado haujaanza kutoa matunda. Nilipomwambia tu akaanza kuniambia ooh hela sina na wakati najua juzi kapokea mshahara.
Akiwa katikati ya mwezi hali mbaya huwa nafanya kila niwezalo nimtumie hata 50 ya matumizi kwa wiki ila yeye laki tu karuka viunzi.
Hapa najiona kama nimeruka stage kwenye maisha yangu, kutokana na kuoana na yeye now nashindwa hata kujilipua kwenda mbali kutafuta maisha, nakaa karibu nae ili niwajibike kama mwanaume kwake na kwa mtoto wetu lakini mwenzangu akipata hela anajiangalia sana yeye tu.
Sioni faida ya hii ndoa soon naongeza idadi ya single mothers mtaani.
 
Cha kustaajabisha wanaume kama wewe eti ndio mnaonekanaga mna akiiiiil na mnaojiamini kisa tu mna kimbilia kuoa wasomi. Wakati kihalisia nyie ni dhaifu maana unaoa mwanamke ambaye atakusaidia kufikiri jinsi ya kuendesha familia na uko tayari kugawana nae madaraka ambayo ulipaswa kuwa nayo mwenyewe tu. Pole in advance kwa kitakachoweza kutokea huko mbeleni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hiyo hutaki watu wasaidiane???
 
Aisee tatizo watu wameshindwa kutofautisha kati ya Kusaidiana na Mwanamke kuprovide kwenye familia...!! Mwanamke anapokuwa anatoa kila kitu au mahitaji makubwa kwenye familia ni tatizo hiloo lakini kama mwanamke wako anakusaidia kwa vitu vidogo kama mafuta ya kula sijui chumvi hapo ndo Ndoa inatakiwa iweee... Sio mpaka chumvi eti mpaka baba nirudi toka kazini ndo inunuliwee...
 
Mwanamke hata kama anakipato kikubwa annually kuliko mume hutakiwa kumwambia achangie hata mia maana mbeleni huko italeta shida tu.

Nina mifano hai kama mitano hivi inasikitisha sana.

Kama hauna pesa ndani na mkeo anapesa familia hapo haina pesa na haupaswi kupepesa macho kwa pesa za mkeo amka ukatafute.
This is a very good comment indeed. Ndio ukweli wenyewe huu. Inachosha sana na kukinaisha ladha ya mapenzi..... kumhudumia mwanamume ambaye hajishughulishi kwa chochote... macho kodo kutwa nzima kwenye pochi ya mkewe...... Halafu ukute na kitandani sekunde mbili..... Dahh.... Utaomba Pooooo 🙄😁🙄
 
My brother is my role mode. Wako na familia ya watoto watatu na wote wameajiriwa. Wana miradi mbali mbali nje ya ajira ambayo wote wanashirikiana kila wanapopata muda na hela ya hiyo mitadi ndio inaendesha familia. Mishahara yao ni kwa ajili ya maendeleo. Mfano wakitaka kujenga banda la kuku bro akinunua mchanga mke atanunua kokoto. Naomba Mungu anijalie nipate mke kama shemeji yangu
Hahahah sasa wanawake wa humu hawataki style hio. Banda hilo atajenga mume na hela atajua atapoipata 🤣🤣🤣 kama ataiba au kokopa ilihali mkewe yupo na uwezo wa kumsaidia anao ila hela yake ni ya magauni,high heels, mapochi na saluni tu.

Aisee nashukuru mungu nilimnyoosha mtu wangu kuhusu hio tabia ya kishenzi na akabadilika kimtazamo.

Kama mambo tunafanya kwa benefits za kwetu wote hamna haja ya kusema hiki changu hiki chako...ubinafsi ni tabia ya kishenzi mno kwangu ni big no. Wanawake wenye ubinafsi ndio design wasiotaka kuchangia chochote hata mambo ya maendeleo ambayo yanawanufaisha wote at large hata kama mume ana kipato kidogo, wapo radhi mtu ateseke ilihali wanaweza kusaidia.
 
Kwa maisha ya sasa,nguvu ya mtu mmoja haiwezekaniki, ni lazima msaidiane la sivyo mtaishi kama mashetani huku mkiwashangaa wengine wanoishi kama malaika

Na pia mnapokua mnasaidiana hata maendelea ya familia yanapatikana kwa haraka
Hahahah huo ndio ukweli japo sio lazima mke achangie ila ni mke mwenye busara tu ndio ataliona hilo.
 
Ndio maana bora tu kuoa tu mwanamke kisu, akae nyumbani alee familia. Kazi ya kutafuta hela aniachie mwenyewe.
This is a very good comment indeed. Ndio ukweli wenyewe huu. Inachosha sana na kukinaisha ladha ya mapenzi..... kumhudumia mwanamume ambaye hajishughulishi kwa chochote... macho kodo kutwa nzima kwenye pochi ya mkewe...... Halafu ukute na kitandani sekunde mbili..... Dahh.... Utaomba Pooooo 🙄[emoji16]🙄
 
Back
Top Bottom