haya bwana , endelea kuumia tuLOL,Unanikumbusha mbali Tunu SIZA alikuwa demu wangu ila nimepata tetesi kaolewa na ana watoto .INANIUUMA SANA natamani nije bongo.
Muhsini nae mzee wa mbwembwe lol.
haya bwana , endelea kuumia tuLOL,Unanikumbusha mbali Tunu SIZA alikuwa demu wangu ila nimepata tetesi kaolewa na ana watoto .INANIUUMA SANA natamani nije bongo.
Muhsini nae mzee wa mbwembwe lol.
haya bwana , endelea kuumia tu
LOL,Unanikumbusha mbali Tunu SIZA alikuwa demu wangu ila nimepata tetesi kaolewa na ana watoto .INANIUUMA SANA natamani nije bongo.
Muhsini nae mzee wa mbwembwe lol.
Oya ina maana tulikuwa tunapokezana?? ndio matatizo ya shule zenye mademu wachache na mamen wengi lo!! halafu Tunu siza hajaolewa bado alijiunga na chuo nitafute nikupe details zaidi))
omary kimosa,humphrey mpalaza unawapata?
lol,kama vipi nipe namba yake.mbona nilipata nyepesi kuwa kaolewa?
lol,kwahiyo tulikuwa tunashea......
INAUMA AKI YA MUNGU.NIKIJA NAMSAKA.
Mkuu Papa Sam umenkikuna kweli! Kumbe tulikuwa wote!
Hiyo party lini mkuu, unakumbuka kuna ten tunadaiwa au mwenzangu ulishailipa! HP wetu Masolwa , sorry Dr. Masolwa unamkumbuka pia?
Shikunzi John anaoa hivi karibuni, kikao kinafanyika pale mamaland External Ubungo
Hivi wale vijana wawili walikuwa matoz sana wa o level, wazee wa kununu mitihani waliishia wapi! Mmoja mtoto wa Kitine mwingine mtoto wa msukuma wa SHIREC anaitwa Sura kama si kosei, hii ilikuwa around 1997-2000, not much sure!
Wazee wa EGM mnakumbuka Michael Kaijage mzee wa Namba na Lenjore Lekamoi mzee wa kukariri, jamaa alikuwa anameza kitabu chote cha Principles of Economics! Bravo kaka nasikia tayari una CPA na bosi mkubwa tu na mjengo wa maana Kinyerezi!
KWANI UJUMBE HAUKUFIKII MPAKA UJUE JINA LA MTU...?Hadi Shikunzi Maximo anaoa? si mchezo....huyu Mjasiriamali ndo nani? naona unataja majina ya watu tu...
Hahahaaaa! nakumbuka enzi za 1987/89 A-level tulikuwa na headmaster wetu Mtesigwa alikuwa poa sana. Nakumbuka tukienda kucheza soccer Kisarawe walikuwa waiogopa timu yetu sana. Katika timu hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kucheza kama beki wa katikati nikitoka kucheza wing ya kulia nikiwa Tambaza. Nilipata mafanikio mpaka kuchaguliwa timu ya mkoa hadi kanda namshukuru sana mwalimu wa Footbal wakati ule Mwl. Mrope
sana tu. ila binafsi kaaya ndolikuwa mkuu. rip two our brothers pata ajari mlima kinyanyiko 2009.Haya wana JF naona watu wanatafutana sana hasa wale wa mashule...akina YOYO na IST!!! sasa basi wale wa Minaki Sec aka mlima kinyanyiko au watoto wa Mjale (RIP) mpo?!
demu wangu huyukama sikosei tumesoma wote form 5 and six pcm pale
duuuu,hivi kinyogoli mwenyewe unamjua yupo?je tunu siza ,,,,
Mwl Mkumbo .....alishakufa 7 yrs ago.ripleo nimefurahi baaada ya kusoma hii post, mmenikumbusha hadithi za Fumbuka na kingereza chake, sasa hivi ni mkuu wa shule maeneo ya Kilwa huko,nilikutana nae Temeke sterio akinunua nguo, Kabahoza baada ya zile skendo za mapenzi na watoto wa shule alihamishiwa kwao bukoba, ila anaonekana sana Ukonga hasa nyakati za likizo, Libaba huyu alikua mwalimu wa historia kwa HGE alistaafu akawa mkulima kule Ruvu ila inadaiwa alipewa mkataba wa kazi kule Ruvu secondary.
nakumbuka miogo ya kisarawe, chapati za mama babu...daah masikini ananidai bill yake ya kama wiki mbili.
Hivi yule mwalimu wa kifaransa alikuaga anapiga picha alikua anaitwa nani?
kuna jamaa anaitwa Shikunzi John , huyu alimaliza HGE mwaka 2000, alikuaga anawakusanya madenti wa form twa hadi four kwa lengo la tuition ya bure, miaka mingi baadae kumbe nikaja gundua kumbe ilikua mbinu ya kupatia totozi,
wapo wasela wengine kama Tumaini kweka, SAMSON MWASAKAFYUKA ...Huyu alikua mzee wa shaban Robert dom kisha baadae Mnyapara.Bishoo Nelly Kamninyoge sasa hizi ni afisa uajiri serikalini. Juma samson Josluo sijui yuko wapi siku hizi.
Niungane na wengine wote kumuombea pumziko la amani Mjale P. MKUU WETU WA SHULE. ipo siku tutakutana tena maana nasikia kuna bonge na party linaandaliwa kwa wote walio maliza pale, nawambeni wale EGM, PCB, PCM NA HGE mliomaliza may 2000, tujitokeze tukumbuke mambo yetu.