Wale Minaki Mpo?

yah michungwa nili iacha hata minazi ila kuna jamaa walikua wanavuna sana mnazi sasa sijui sikuizi kama wanapata nazi!
 
duu mi nakumbuka kipindi hicho minaki usafiri ulikuwa aina fulani hivi ya mabasi yanapua ndefu hivi yani life lilikuwa maisha plus maji ya viroba kwa kwenda mbele mskaji akinunua unamwomba kupiga denda maisha yalikuwa burudani, nakumbuka siku hizo mama kinyogoli alikuwa anauza mboga kwa kijiko kisamvu au matembele sh 20/=
 
I was there enzi za Mtesigwa, then Mjala tulipokuwa form IV...
I remember kuungua kwa bweni la Mnyampala, wakaazi wake wake wakapelekwa kwenye vi-structure fulani tukawa tunawaita Wa-kurdi.
Mwalimu "Kiburungutu," Zanta, Abnormal... so much to remember
 
duu mi nakumbuka kipindi hicho minaki usafiri ulikuwa aina fulani hivi ya mabasi yanapua ndefu hivi yani life lilikuwa maisha plus maji ya viroba kwa kwenda mbele mskaji akinunua unamwomba kupiga denda maisha yalikuwa burudani, nakumbuka siku hizo mama kinyogoli alikuwa anauza mboga kwa kijiko kisamvu au matembele sh 20/=


That was "SIMBA DUME"
 
i was there enzi za mtesigwa, then mjala tulipokuwa form iv...
I remember kuungua kwa bweni la mnyampala, wakaazi wake wake wakapelekwa kwenye vi-structure fulani tukawa tunawaita wa-kurdi.
Mwalimu "kiburungutu," zanta, abnormal... So much to remember

wewe sasa ndio mwenzangu enzi hizo na mimia nilikuwa o level,nakumbuka kuna mgomo mkubwa sana ulitokea wakati huo second master alikuwa mbuji,wengine wakina kabahoza,shehoza,kuhanda,mkwangwanyule,zanta,mama wa namba nk.
 
wewe sasa ndio mwenzangu enzi hizo na mimia nilikuwa o level,nakumbuka kuna mgomo mkubwa sana ulitokea wakati huo second master alikuwa mbuji,wengine wakina kabahoza,shehoza,kuhanda,mkwangwanyule,zanta,mama wa namba nk.

ule mgomo nafikiri ulitia adabu sana pale nami nilikua olevel by then...umenikumbusha akina mkwanga aise jamaa kilimo kimemkaa utafikiri nini enzi zile somo la agriculture hasa bwana!!! kulikuaga na mwalimu wa kike alikua anakaa upande wa pili wa barabara karibu na mabanda ya kuku mama naye alikuaga mnoko sana alikua anafundisha biology!

sijui kama sasa ivi wana fuga kuku tena?
 
duu mi nakumbuka kipindi hicho minaki usafiri ulikuwa aina fulani hivi ya mabasi yanapua ndefu hivi yani life lilikuwa maisha plus maji ya viroba kwa kwenda mbele mskaji akinunua unamwomba kupiga denda maisha yalikuwa burudani, nakumbuka siku hizo mama kinyogoli alikuwa anauza mboga kwa kijiko kisamvu au matembele sh 20/=


kama sikosei tumesoma wote form 5 and six pcm pale

duuuu,hivi kinyogoli mwenyewe unamjua yupo?je tunu siza ,,,,
 
Haya wana JF naona watu wanatafutana sana hasa wale wa mashule...akina YOYO na IST!!! sasa basi wale wa Minaki Sec aka mlima kinyanyiko au watoto wa Mjale (RIP) mpo?!


Umenikumbusha mbali mtu wangu!!!!!!!!!!!

Ilikuwa ukidrop kuja town kurudi jumapili kuwahi row call. Tatizo ilikuwa ni usafiri, enzi hizo tunapandia DDC Kariakoo, Denti unasimama, kama umevuta home unalipa ya mtu mzima unakaa. Ilikuwa soo ukikosa usafiri na huku ulidrop, inabidi hata uning'inie ili row call isikupite!! Ni soo nikikumbuka! Kuna wakati ilikuwa inabidi kuunga unga usafiri hadi mwisho wa rami then unaanza kuprint taratibu hadi pugu kajiungeni kutegeshea lift!


Namkumbuka mwalimu wangu wa Geography A level Mwl. Tilia, bado yupo pale kweli? Kuna mwl Fumbuka yeye alikuwa full burudani, English haipandi, utasikia .........."Kwa faida ya form one nitaongea Kiswahili", Tangazo lenyewe sasa? .....Utasikia, "Form six wote mubaki au form five jana hamkwenda shambani...


Mmenikumbusha fungus, ilikuwa balaa, sipati picha madada zetu ilikuwaje!
 
ule mgomo nafikiri ulitia adabu sana pale nami nilikua olevel by then...umenikumbusha akina mkwanga aise jamaa kilimo kimemkaa utafikiri nini enzi zile somo la agriculture hasa bwana!!! kulikuaga na mwalimu wa kike alikua anakaa upande wa pili wa barabara karibu na mabanda ya kuku mama naye alikuaga mnoko sana alikua anafundisha biology!

sijui kama sasa ivi wana fuga kuku tena?

Kuna mwalimu alikuwa anafundisha sanaa jina la utani alikuwa anaitwa TOT jogoo la afrika alikuwa burudania sana na mwingine wa kiswahili kata k alikuwa noma kwa fasihi.enzi hizo kulikuwa na akina bob chura,mwiba,galopa mkristo na mzee wa bwalo.
 
menikumbusha mbali sana, c ndio tulikumbana na mambo, SOGOI alipewa kuwa mwalimu wa usafi,tulujuta kumfahamu mana kila dakika tunaye....
Kuna BANOBA ni full mikwaraaaaaa.
lakini pia ndio wakati MJALE (RIP) aliaga dunia wakati huo tunakaribia paper la form six...
 
Kuna mwalimu alikuwa anafundisha sanaa jina la utani alikuwa anaitwa TOT jogoo la afrika alikuwa burudania sana na mwingine wa kiswahili kata k alikuwa noma kwa fasihi.enzi hizo kulikuwa na akina bob chura,mwiba,galopa mkristo na mzee wa bwalo.

hhaaahah namkumbuka yule, ebwana tena umenikumbasha akina galopa mchizi alikua ana buti kubwa kushinda mwili wake kudadadeki makongoro tulikua na machizi kweli!!!

Mnakumbuka na debates lakini?
 
I was there enzi za Mtesigwa, then Mjala tulipokuwa form IV...
I remember kuungua kwa bweni la Mnyampala, wakaazi wake wake wakapelekwa kwenye vi-structure fulani tukawa tunawaita Wa-kurdi.
Mwalimu "Kiburungutu," Zanta, Abnormal... so much to remember

TAJIRI,
Umenikumbusha kiburungutu.
Na kile kitambi chake.
Yule mwalimu mwanamke aliyekuwa na ulemavu wa mguu unamkumbuka?
 
menikumbusha mbali sana, c ndio tulikumbana na mambo, SOGOI alipewa kuwa mwalimu wa usafi,tulujuta kumfahamu mana kila dakika tunaye....
Kuna BANOBA ni full mikwaraaaaaa.
lakini pia ndio wakati MJALE (RIP) aliaga dunia wakati huo tunakaribia paper la form six...

Ale,
Kumbe wana minaki tupo wengi hapa JF.
 
wewe sasa ndio mwenzangu enzi hizo na mimia nilikuwa o level,nakumbuka kuna mgomo mkubwa sana ulitokea wakati huo second master alikuwa mbuji,wengine wakina kabahoza,shehoza,kuhanda,mkwangwanyule,zanta,mama wa namba nk.

Mbuvu,
Mwalimu Ruhumbika ulimkuta wewe?
alifundisha historia A"level.
 
yah kajiungeni nimekumbuka sasa, ila na usafiri wa kwenda kingi nao ulikua umepitwa na wakati duh zile chai maharage noma na lile vumbi pale kinyanyiko!!!
Hongereni kwa kupanda angalau chai maharage. Kipindi chetu tulikuwa tunapanda KAMATA kutoka Kariakoo mpaka Kiwe. Ukilikosa tu pale Kariakoo saa nane basi andika maumivu kufika Kiwe.
Ila Minaki ilikuwa na historia ya kuhamisha darasa lote la HGE UDSM.
Kule pondi(chanzo cha maji) mandhari yake yalikuwa yanavutia sana kwa utulivu wa hali ya hewa.

Je kuna yoyote mwenye picha za hii shule kongwe atuwekee kwenye bandiko?
Manake ni zaidi ya miaka 30 nipite maeneo yale.
 
leo nimefurahi baaada ya kusoma hii post, mmenikumbusha hadithi za Fumbuka na kingereza chake, sasa hivi ni mkuu wa shule maeneo ya Kilwa huko,nilikutana nae Temeke sterio akinunua nguo, Kabahoza baada ya zile skendo za mapenzi na watoto wa shule alihamishiwa kwao bukoba, ila anaonekana sana Ukonga hasa nyakati za likizo, Libaba huyu alikua mwalimu wa historia kwa HGE alistaafu akawa mkulima kule Ruvu ila inadaiwa alipewa mkataba wa kazi kule Ruvu secondary.
nakumbuka miogo ya kisarawe, chapati za mama babu...daah masikini ananidai bill yake ya kama wiki mbili.
Hivi yule mwalimu wa kifaransa alikuaga anapiga picha alikua anaitwa nani?
kuna jamaa anaitwa Shikunzi John , huyu alimaliza HGE mwaka 2000, alikuaga anawakusanya madenti wa form twa hadi four kwa lengo la tuition ya bure, miaka mingi baadae kumbe nikaja gundua kumbe ilikua mbinu ya kupatia totozi,
wapo wasela wengine kama Tumaini kweka, SAMSON MWASAKAFYUKA ...Huyu alikua mzee wa shaban Robert dom kisha baadae Mnyapara.Bishoo Nelly Kamninyoge sasa hizi ni afisa uajiri serikalini. Juma samson Josluo sijui yuko wapi siku hizi.
Niungane na wengine wote kumuombea pumziko la amani Mjale P. MKUU WETU WA SHULE. ipo siku tutakutana tena maana nasikia kuna bonge na party linaandaliwa kwa wote walio maliza pale, nawambeni wale EGM, PCB, PCM NA HGE mliomaliza may 2000, tujitokeze tukumbuke mambo yetu.
 
Fumbuka kawa head master Kilwa, Tillya yeye alipanda cheo haraka akawa mkuu wa shule pia.
 
Last edited:
yah kajiungeni nimekumbuka sasa, ila na usafiri wa kwenda kingi nao ulikua umepitwa na wakati duh zile chai maharage noma na lile vumbi pale kinyanyiko!!!

Hehehehe,sijasoma Minaki ila nimekaa sana Kisarawe,maranyingi sana tulikuwa tunagongana na watoto wa MInake pale SBA,kaukumbi kadogo joto kali,jamaa walikuwa wanakula pori hadi kisarawe hawaogopi hata simba,jamani!
Kitu nakumbuka nilipokuwa nasoma Shule ya msingi shule nilizokuwa nazizimia zilikuwa ni Minaki na Ifunda kwani nilikuwa nikipita Minaki(Kibaoni) naona lile bweni la njiani nikawa linanipa nguvu za misuli,KIpindi nipo shule ya msingi daasa la sita nilikuwa na rafiki yangu mmoja yeye alikuwa form six,akawa anakuja Home weekends kuchange diet,hee si akamtokea Dada yangu na kunifanya urafiki uishie hapohapo,Pumbav! Hapa ndio nikaanza kuichukia Minaki.By the way hata nikirudi Tz lazima niende nikawacheki masela Kingi pia kupitiapitia Minaki.
 
Back
Top Bottom