Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

ukitaka ukuu wa wilaya imba sana habari za ccm,nilimuona makunga alivyokuwa akipindisha matokeo ya ingunga hadi akawa anapishana na waandishi wenzake wa itv kumbe alikuwa anafanya hivyo ili apate fadhila ya mkuu wa kaya.kazi kwelikweli
 
Orodha ya Kwanza no 15!

Dr. Michaek Y. Kadeghe.
From University Don to DC!
I need my head examined!!!
What is wrong with us Tanzanians?

usishangae kaka,,,,hata huyo alokubal nae tumshangae
 
Vipi Ephraim Kibonde jina limesahaulika kuandikwa? Vipi Tambwe Hiza? Nimeshangaa mwalimu wangu wa communication skills Dk Michael Kadege eti nae ni mkuu wa wilaya!
 
Naomba kupata ufafanuzi ,hivi waandishi habari wote ni ccm naona wamejaa tele kwenye hiyo orodha,nipeni jibu
 
Na huyo aliyekuwepo Dr. Sigalla kaenda wapi?

Huyu na odokta wa kufoji hafai hata kuwa katibu kata anapewa huo uDC fadhila ya wakina Nchimbi kupitia kwa Pindi Chana!!!!!!!Amepelekwa Mbeya na kule akifanya uhanithi aliokuwa anafanya Hai WANYAMBALA watamkomesha na ukinga wake.
 
Nimetafakari umhimu wao sijaona zaidi ya kwenda kuimarisha CCM na kugombana na Wakurugenzi.
 
huyu Martha Umbula ni mbunge wa CCM viti maalumu Karatu, sijaona umuhimu kumteua kuwa mkuu wa wilaya tena mbaya zaidi kapangwa mbali na jimbo lake.

Vipi sio karibu na ikulu?
kiburudisho au?

IMG_3550.jpg
sssssssssssssssssssssssss.png
 
huyu Martha Umbula ni mbunge wa CCM viti maalumu Karatu, sijaona umuhimu kumteua kuwa mkuu wa wilaya tena mbaya zaidi kapangwa mbali na jimbo lake.
Mkuu wala usipate tabu yoyote, Wakuu wa Wilaya hawana kazi yoyote ile, hata Stive Nyerere ukimteuwa hakuna shida yoyote na hata ningesikia Wema Sepetu naye yumo wala nisingeshangaa.

Cheo cha Udc ni genge la Majobless ndio hupewa ulaji huo ili waweze kukidhi mahitaji ya Familia zao, na ndio maana huyo Mbunge wa vitu maalum Usishangae kuongezewa ulaji maana ni vyeo vya fadhila baada ya kutumika. 0713 inalipa mkuu.
 
Hivi katika uteuzi huu hakuna wakuu wa wilaya wasio na wilaya maalum?

Cheo cha cha ukuu wa wilaya napendekeza kiitwe "ukuu pasipo kazi maalum"
 
Huyu mtu kuwa DC sawa na mwanafunz wake festo kiswaga ni udhalili huu
Vipi Ephraim Kibonde jina limesahaulika kuandikwa? Vipi Tambwe Hiza? Nimeshangaa mwalimu wangu wa communication skills Dk Michael Kadege eti nae ni mkuu wa wilaya!
 
Kwa aina ya watu walioteuliwa kushika hizi nyadhifa za ukuu wa wilaya ni dhahiri shahiri kwamba hawana umuhimu wowote kwa maendeleo ya nchi hii.
Ni muhimu sana kuzifyekea baharini nafasi hizi tunapotengeneza katiba mpya.
Kama tangu mwaka 2010 kuna wilaya zimekuwa bila wakuu wa wilaya hiyo ni dhahiri kwamba hawana umuhimu sana, hata wasipokuwepo maisha yataendelea vizuri tu huko wilayani.
 
Watanzania bana, sasa hamtaki? Mlikuwa mnasubiria wakuu wa wilaya ndio hao watu wanashangaa! Kwani mliambiwa CCM imebadilika?
 
Nimependa baadhi ya watu wachapa kazi wamo kwenye list .. Tunawaombea muweze kufanya kazi nzuri. Siwajui wote ila kwa ninao wajua waliopo kwenye list, Safi.
 
jamani naomba mnisaidie, huyu Lucy Mayengo na James O. Milya ni walewale wa CHADEMA?
 
Back
Top Bottom