Kaazi kwelikweli,
Hivi ukuu wa wilaya ni cheo cha Kichama ama kiserikali, mbona wote ni wa CCM? kweli katiba inahitaji mabadiliko makubwa
Hee kumbe ccm ukuu wa wilaya mnagombea- Mkuu kwani niligombea hizi nafasi? ha! ha! ha!William.
hongera zao.
Chadema kuna Lucy Owenya na si Lucy Mayengo na Ole Milya si huyo wa CDMjamani naomba mnisaidie, huyu Lucy Mayengo na James O. Milya ni walewale wa CHADEMA?
jamanh hv huyu dr michael kadeghe do yule wa udsm au kama ni kweli mbona jk anapunguza watalamu vyuoni!
Mmh! Yaani Amani Mwenegoha aliyekuwa Katibu mkuu wa ELCT amepewa ukuu wa wilaya? Kweli njaa mbaya sana. Ameondoka ELCT na skendo anaingia kwenye siasa. Anyways labda uko kuna mfaa maana ndio sehemu pekee yakuteketeza "morals" bila kuulizwa na mtu.
- Mkuu kwani niligombea hizi nafasi? ha! ha! ha!
William.
- Mkuu kwani niligombea hizi nafasi? ha! ha! ha!
William.