chaga ndo zinatakiwa uzingatie sana,Wakuu mwenye anajua mbao hivi vitanda ni vya mbao gani na muundo wake unaitwaje na Kwa tathmini ni mbao ngapi zimetumika
Upo mkoa ganiUzi mzuri mtoa mada, Mi juz kati,
Kuna mahali nmekiona hiki,
kinafaa Sana Chumba Cha watoto.
sema JAMAA kadai nimpe milioni 1 cash, top top anataka laki 9 na nusu. TUKASHINDWANA.
Wapi pengine naweza kukipata Kwa Bei ya chini kdg?
Usicheke mkuu, wale wadudu sio poa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌