Wakuu mbona wanawake wako hivi

Wakuu mbona wanawake wako hivi

Habarini wakuu,

Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.

Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Hapo ukute bundle umenunua wewe ila anachati na boya flani hivi.mtuhurumie jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.

Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Sasa mkuu kama hana shida yyt na ww akutafutie nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ni kinyume!
Mi nilijua wanaume ndiyo huwa wanatafuta mtu wakiwa na nyege
 
We nikatae, nizungushe, na papuchi usinipe, its OK, ila usiniombe hela..maana ukishaanza kuleta swaga za kuniomba hela tutakuwa maadui ghafla cute b
Yes, hela sikuombi.
Na huwa sidangi kwenye mahusiano yangu yoyote!
Na nikisha kuzungusha sahau papuchi

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Back
Top Bottom