ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,860
- 3,810
Imekaa vizuri. But from no where mwanamke hawezi kumpenda mwanaume. Huwa kunaprocess kidogo ya mwanamme kuonesha interest japokuwa kunamipaka ya kipimo cha kufatilia. But pia siku hizi kunawapenzi na wapendanao. Hivyo mnaweza kuwa wapenzi Ila siyo wapendanao .
Sent using Jamii Forums mobile app