T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,107
- 30,529
SakayoWale ambao hata tukiwa na shida hatuwatafuti tunacoment wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
SakayoWale ambao hata tukiwa na shida hatuwatafuti tunacoment wapi
Unajitekenya sio, hamnaga mda wa kumtafuta mtu mpya huwa yule alieko available ndio kimbilio. Unajikuta tu uko gheto kwa muhuni kupata faraja..mashauzi yote kushnei! Usifanye masihara na kibuti na stress za bwana anaemwagaga noti.Hahahahhahahahhahaa!
Nitamtafuta mpya nimpe kuliko niliyemzungusha.
Sitaki revenge kwenye papuchi yangu Mimi.[emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Nakuja jukwaa la p.m ili usione aibu tena mamaa!Hahahha nimeona aibu Mimi[emoji85][emoji85][emoji85]
Cc chaliifrancisco. Naomba uende na mimi kwenye jukwaa la watoto eeh!
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ila si unakuwa ushapigwa pipe taari. Hizo kauli za kishujaa tu ila ukikojozwa lazma utamani tena na tena!Weèeee. Sio kweli. Labda uwe ndo umeniingia mpaka kwenye nyayo. La sivyo dakika moja nakuacha kama sikujuii. Utashangaa tu sijibu message. Sipokei simu. Na hiyo ndo bye bye. Kama nimekupenda kwanza utajishtukia kunipotezea maana kupe mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eh kaza vizuri itoke njota mzee.. Bhassss!!! Umemaliza kazi, hapo ukichuna simu za lawama zinaanza.Umemaliza mkuu...
Tena ugonge show nzuri na umufikishe kunako....
Mashauzi yote kwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawahawa wapenda hela au kuna wengine?Hawawezi kuelewa wanajidai vichwa ngumu. Wanaona raha kugonga na kusepa hawajui kuwa wanajiumiza wao wenyewe. Wanaathirika kisaikolojia na wataishia kuona mwanamke ni wa kugonga na kusepa tu kumbe Kuna mambo matamu ukipenda unapopendwa.
Hao hao 😀Hawahawa wapenda hela au kuna wengine?
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Naunga hoja mkonoUkiona hutafutwi ujue kuna wanaotafutwa muda huo
ila akiwa na shida atatafutwa wa kumtatulia shida zake
akiwa nyegezi atamtafuta wa kumtoa
akiwa hana hela anakutafuta wewe
Kuna msemo mmoja unasema Siku ukianza kuwasoma wanawake Ur death is near😂Habarini wakuu,
Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.
Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Sasa kama wanapenda hela kwanini nisi HIT and RUN ili kuokoa hela zangu?Hao hao [emoji3]
Hawa ndio wanaotufanya wanaume wote tunaonekana mafala mwanamke hajakutafuta wewe unamtafuta wa nini?Wanaume tufahamu thamani yetu jaman, mwanamke akivunga kuuchuna naww uchune mpaka ashike adabu.
Wanaume tunapaswa kuishi kwa kujiamini[emoji123][emoji123][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah uko sahihi. Pumbavu zake.Huu ndio ukweli halisi. Hutafutwi nibkwamba huna umuhim. Thats it. Jiongeze
Sent using Jamii Forums mobile app