Wakuu mbona wanawake wako hivi

Wakuu mbona wanawake wako hivi

Yeye sio chanzo, chanzo ni wewe kulazimisha mapenzi sehemu usiyohitajika. Sawa utamgegeda na kusepa haina shida..shida ni pale utakapohitaji wa kukupenda hutampata. Utagegeda weeee lkn mwisho wa siku utahitaji soul mate. Ukiwa mkubwa utaelewa sasa hivi endelea tu kuzurura
Kama hampendi mbona pesa zake anachukua,kimsingi kila mtu afanye chenye faida kwake huyu ale pesa na yeye ataliwa tu ili mradi shida hazijamwisha..baada ya hapo kila mtu anakuwa muwamba ngoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.

Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Mwalimu wao kipofu,ubao mweusi chaki mkaa unategemea nini??
 
Kama hampendi mbona pesa zake anachukua,kimsingi kila mtu afanye chenye faida kwake huyu ale pesa na yeye ataliwa tu ili mradi shida hazijamwisha..baada ya hapo kila mtu anakuwa muwamba ngoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina tatizo na hilo ili mradi makubaliano, nawashangaa maana wanalalamika. Ukipenda kugonga na kusepa ujue kutoa pesa pia
 
Kuna mwanamke mmoja ana hii tabia/tatizo

Nisipomtafuta mimi yeye ndo bhasi tena ila akiwa na shida ananitafuta

Leo ni siku ya pili hatujawasiliana wala kutafutana....

Najua akija kunitafuta ni kizinga tu...

Namvutia muda tu maana bado sijamgegeda....

Nikimugegeda tu itakuwa ndo bhasi tena......

Sent using Jamii Forums mobile app
mburooku
 
Hivi kwanini ukishamgegeda binti anabadilika na kuanza kukufukuzia. Ebu niibie Siri bibie
Mwanamke kiburi chake kipo kabla ujamvua chupi na kumsumkumia mti nyama. Ukishafanikiwa kumchezea sirini analegea kabisa na anakuwa tayari submissive kwako. Kitendo cha kukubali umpasue tu means ushamshinda ujanja na hapo hata ukimvimbia hana la kufanya zaidi ya kujibembelezesha kwako. Ukimkataa ndio kabisa ataanza kukutafta kwa udi na uvumba na lawama kibao.
 
Yes, hela sikuombi.
Na huwa sidangi kwenye mahusiano yangu yoyote!
Na nikisha kuzungusha sahau papuchi

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ubaya siku utakayokuwa na mastress baada ya kula kibuti kwa yule unayempenda kama chizi ndio siku ambayo atakufariji na kukutia mashine. Kisha kitachofuata siongei!
 
Back
Top Bottom