Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,415
- 191,570
Style yake kwenye keyboard ila live kwa mtaa hapindui huyoKumbe ndiyo style yako
Style yake kwenye keyboard ila live kwa mtaa hapindui huyoKumbe ndiyo style yako
Hahahahhahahahhahaa!Ubaya siku utakayokuwa na mastress baada ya kula kibuti kwa yule unayempenda kama chizi ndio siku ambayo atakufariji na kukutia mashine. Kisha kitachofuata siongei!
Hahahha nimeona aibu Mimi[emoji85][emoji85][emoji85]Mwanamke kiburi chake kipo kabla ujamvua chupi na kumsumkumia mti nyama. Ukishafanikiwa kumchezea sirini analegea kabisa na anakuwa tayari submissive kwako. Kitendo cha kukubali umpasue tu means ushamshinda ujanja na hapo hata ukimvimbia hana la kufanya zaidi ya kujibembelezesha kwako. Ukimkataa ndio kabisa ataanza kukutafta kwa udi na uvumba na lawama kibao.
Uhuni upi sasa yani mnatuchanganya wanaume wote kwenye kapu mojaHahahahaha sasa nyie si mmekuwa wahuni?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kwa hiyo wewe siku nikikupa hautalipiza kisasi?Uhuni upi sasa yani mnatuchanganya wanaume wote kwenye kapu moja
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hahahahhahahahhahaa!
Nitamtafuta mpya nimpe kuliko niliyemzungusha.
Sitaki revenge kwenye papuchi yangu Mimi.[emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Weèeee. Sio kweli. Labda uwe ndo umeniingia mpaka kwenye nyayo. La sivyo dakika moja nakuacha kama sikujuii. Utashangaa tu sijibu message. Sipokei simu. Na hiyo ndo bye bye. Kama nimekupenda kwanza utajishtukia kunipotezea maana kupe mimi.Mwanamke kiburi chake kipo kabla ujamvua chupi na kumsumkumia mti nyama. Ukishafanikiwa kumchezea sirini analegea kabisa na anakuwa tayari submissive kwako. Kitendo cha kukubali umpasue tu means ushamshinda ujanja na hapo hata ukimvimbia hana la kufanya zaidi ya kujibembelezesha kwako. Ukimkataa ndio kabisa ataanza kukutafta kwa udi na uvumba na lawama kibao.
ANakomaa nini sasa wakati mwanzoni alikua analeta pozi.Habadiliki Bali ni wewe ndiyo unampotezea na yeye anakomaa
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
sasa kwann akubali hela zangu halafu hanitafti
😀😀😀😀😀😀😀😛Tena akija kukupiga mzinga anakwambia "mwanaume weee una tabia mbaya, hata hunitafuti wala kunipigia simu, au hunipendii".
Sasa wewe jibaraguze, unapewa za uso..." Baby nna shida, utanisaidia...."pumbavu sana hawa viumbe
😀😀Hapo ukute bundle umenunua wewe ila anachati na boya flani hivi.mtuhurumie jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo wengi na wewe sio kipaumbele chake kuna mtu anabembelezwa uko....Habarini wakuu,
Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.
Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Umemaliza mkuu...Mwanamke kiburi chake kipo kabla ujamvua chupi na kumsumkumia mti nyama. Ukishafanikiwa kumchezea sirini analegea kabisa na anakuwa tayari submissive kwako. Kitendo cha kukubali umpasue tu means ushamshinda ujanja na hapo hata ukimvimbia hana la kufanya zaidi ya kujibembelezesha kwako. Ukimkataa ndio kabisa ataanza kukutafta kwa udi na uvumba na lawama kibao.