Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,119
Ni kweliHii nayo ni kweri. Hivyo mwanamke atahitaji process kidogo ili amshawishi vinginevyo humpati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliHii nayo ni kweri. Hivyo mwanamke atahitaji process kidogo ili amshawishi vinginevyo humpati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu nimeona mimi 🙊😑Hahahhaah.
Kumbe !!
Na ndiyo maana Mimi nikishamzungusha mtu sana , naamuaga moja kwa moja kutokumpa papuchi.
Hii mbinu nilishafundishwaga.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Na jeur yake ipo hapoKuna mwanamke mmoja ana hii tabia/tatizo
Nisipomtafuta mimi yeye ndo bhasi tena ila akiwa na shida ananitafuta
Leo ni siku ya pili hatujawasiliana wala kutafutana....
Najua akija kunitafuta ni kizinga tu...
Namvutia muda tu maana bado sijamgegeda....
Nikimugegeda tu itakuwa ndo bhasi tena......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii maana yake we fight for love. Wakati mwingine unaweza ukasubuliwa mda mrefu na ukaja kuoa kabisa but also unaweza pendwa mapema kwa urahisi kabisa na hauchukui round unapigwa kibuti. Love is so complex especially to maintain. Na ili yadumu lazima mmoja awe mtumwa (fala) wa mwenzake out of that love does not exist
Tumeshaongea na Melo ataanzisha jukwaa la watoto. Sawa?Aibu nimeona mimi
Yes you can fight for someone who loves you ila ukifight ili mtu akupende ni sawa na kupiga ngumi ukutaniHii maana yake we fight for love. Wakati mwingine unaweza ukasubuliwa mda mrefu na ukaja kuoa kabisa but also unaweza pendwa mapema kwa urahisi kabisa na hauchukui round unapigwa kibuti. Love is so complex especially to maintain. Na ili yadumu lazima mmoja awe mtumwa (fala) wa mwenzake out of that love does not exist
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshaongea na Melo ataanzisha jukwaa la watoto. Sawa?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Yes you can fight for someone who loves you ila ukifight ili mtu akupende ni sawa na kupiga ngumi ukutani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa vizuri sana
Kushawishi kawaida sawa ila kuna ile mtu anajua hapendwi ila anajitia upofu, anaumizwa ananyanyasika, anadharauliwa ye kang'ang'ana tuOK. Ili upendwe unahitaji ushawishi. Unaweza kumpenda mwanaume kwa kukutana nae tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila jambo linakiasi chake. Too much for anything is harmful. Also everything in deeply is very confusing.Kushawishi kawaida sawa ila kuna ile mtu anajua hapendwi ila anajitia upofu, anaumizwa ananyanyasika, anadharauliwa ye kang'ang'ana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni kweliKila jambo linakiasi chake. Too much for anything is harmful. Also everything in deeply is very confusing.
Sent using Jamii Forums mobile app
hence excluded...Mie niexclude...sina tabia tajwa hapi juu
Hao sio wanawake ni wasichana......tafuta mwanamke ufanye maisha achana na wasichana..Habarini wakuu,
Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.
Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.