Wakuu mbona wanawake wako hivi

Wakuu mbona wanawake wako hivi

Hawawezi kuelewa wanajidai vichwa ngumu. Wanaona raha kugonga na kusepa hawajui kuwa wanajiumiza wao wenyewe. Wanaathirika kisaikolojia na wataishia kuona mwanamke ni wa kugonga na kusepa tu kumbe Kuna mambo matamu ukipenda unapopendwa.
Hii ndo ina nitesa mimi sahivi... nahitaji kutulia na mmoja lakini nashindwa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nilidhani labda kwakua na date na hawa galz vyuma basi ndo maana situliii nao... nika anza kuchukua wa hovyo lakini bado yale yale... baada ya miezi kadhaaa tunakua tuna ugomvi tu mpaka sio poa
Ni kwasababu tangu mwanzo hukuwachukulia serious, jaribu kumpenda mmoja ambaye yupo simple naamini atarudisha mapenzi kwako. Punguza kuokotaokota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili janga LA kupenda usipopendwa haliko kwa sisi wanaume tu, hata ww huenda kuna mwanaume unampenda lkn huyo mwanaume hajui kama una-exist Meeyah
Siwezi ishi na mtu asiyenipenda. Haitatokea! Nikiona sipendwi nakaa pembeni taabu ya nini?
Na km umeamua kuishi na asiyekupenda Basi hakuna haja ya kulalamika maana umependa mwenyewe.
 
Habarini wakuu,

Nimepitia mahusiano mengi na wanawake, hivi kwanini wanawake wengi ukiwatafuta hawakutafuti ila akiwa na shida tu. Ila akiwa hana shida na wewe ndo hakutafiti kabisa.

Hivi hawa viumbe huwa wanataka nini. Huwa siwasomi kabisa hawa watu jamani.
Hapo upo choo cha kike. Mwanamke anayekupenda mwanzo mwa uhusiano anakuwa busy sana na ww hata km hana salio atakutumia tafadhali nipigie. Huyo hana mapenzi na ww. Vuta chombo kingine
 
Wanaume tufahamu thamani yetu jaman, mwanamke akivunga kuuchuna naww uchune mpaka ashike adabu.

Wanaume tunapaswa kuishi kwa kujiamini[emoji123][emoji123][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app

hapo umenena mkuu wao ndio watutafute sie. sii ndio vidume bwana yaani unatakiwa full confidence alafu mchuno wa nguvu mpaka wakutafute wenyewe
 
Ndiyo, ukiona mwanaume umemzungusha muda, na anakila sababu ya kukupotezea ila hafanyi hivyo[emoji23][emoji23].
Jiandae akikugegedaa ndiyo kwisha habari yako. Utaanza wewe kumfukuzia sasa.
Kumbe Khantwe ulikuwa haujui?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hivi kwanini ukishamgegeda binti anabadilika na kuanza kukufukuzia. Ebu niibie Siri bibie
 
Wanaume tufahamu thamani yetu jaman, mwanamke akivunga kuuchuna naww uchune mpaka ashike adabu.

Wanaume tunapaswa kuishi kwa kujiamini[emoji123][emoji123][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app

Tena akija kukupiga mzinga anakwambia "mwanaume weee una tabia mbaya, hata hunitafuti wala kunipigia simu, au hunipendii".
Sasa wewe jibaraguze, unapewa za uso..." Baby nna shida, utanisaidia...."pumbavu sana hawa viumbe
 
Hahahhaah.
Kumbe !!
Na ndiyo maana Mimi nikishamzungusha mtu sana , naamuaga moja kwa moja kutokumpa papuchi[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii mbinu nilishafundishwaga.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Usiombe ukutane na mimi
 
Back
Top Bottom