Wakuu, hatua lilipofikia hili jiji la Dar es Salaam, hakuna tena hamasa watu kwenda Ulaya au US kupiga picha

Ulaya umewahi kufika wewe???!tambua unavyoona tz inazidikuendelea mara tano yake amka wewe
 
Uzi ufungwe. Nadhani tumeona mtoa mada ni nani.
 
Ungekuwa umefika hata Jburg au Pretoria ungegundua kuwa ulichoandika siyo kweli.
Hebu tazama utofauti wa picha hizi mbili
Hii ni ubungo
View attachment 1682166

Hii Gothenburg Sweden
View attachment 1682168
ni suala la muda tu hivyo vibanda vya pembeni vyote vibomolewe pajengwe majengo, kumbuka stendi ya ubungo unahamia mbezi louis hivyo majengo vibiashara vyote vya hapo ubungo inabidi vihame kufuata wateja wao, na hivyo kuacha nafasi ya hivyo vijumba vidogo kubomolewa kujenga vitu vipya
 
Chato huwezi kuilinganisha na kijiji chochote ulaya Mkuu. Uwe na adabu.

Uwanja wa ndege runway almost vizio kama vya JKNIA.
Bank,referal hospital, MSD, Mbuga etc, ukileta kijiji ulaya CHANYA yote hayo nitajisaidia hadharani.

Hakuna. Ila usilete nyumba za wanavijiji maana huko bado hatujawafikia
 
Weka picha wengine hatujafika huko au ulisimuliwa na wewe
Utakuwa unaumwa wewe sio bure.
Yaani uweze kufika mitandaoni ushindwe kufika ulaya na dsm.!!!

Hivi nyie jamaa wa wapi nyie.unafeli wapi brother
 
Picha jamani, habari gani hizi za nusu nusu!
 
Basi ni mpaka huo muda ufike ila kwakuwa haujafika bado watu wana sababu ya kwenda kupiga picha huko ulimwenguni
 
Unafànya mkuu haupo seriously na mada yako Ilaya next levels sisi hata Kigali hatuwafikii.
Acheni dharau?! Yaani unafananisha utopolo Kigali na Dsm,?!! Kuwa na heshima na jiji la Kunenge usilifananishe na vi miji vidogo vidogo, Kigali ni size ya moshi au Arusha.
 
Hahaha ukada utakuumbua TEMBEA UJIONE
 
Ndio maana nme muacha kumbe ni mwehu
Ushabiki huu ndio maana huwa tunawaacha mtapeliwe.
Mwenzako anzungumzia 1880s wakati Mimi nazungumzia 1890 Wakati Tesla aliposikimika magurudumu Niagara falls na kwa Mara ya kwanza New York Umeme usiku ukawaka kama Mchana.

Edson na viumeme vyake vya DC New York ilikuwa kama vijiji vinavyotumia tusolar TWA DC. Umeme kama kibatari. Huwezi kulinganisha na surprise ya Tesla ambayo wazungu walirukaruka usiku kama wehu kushangaa taa zinavyotoa mwanga wa kutosha.

New York ilikuwa ya kipuuzi kuliko vijiji vinavyopitiwa na Mradi wa REA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…