Unaisikia tuu ulaya au umewahi kufika ndugu yangu. Yaani wale walishatiacha miaka Mia mingi iliyopita.Tulizoea zamani mtu akienda ulaya atalazimisha atafute angle ili apige Picha background imtambulishe hayuko Tanzania...
Mimi japo sijafika ulaya nilifanikiwa kuishi Thailand january 2018 mpaka mpaka December 2019 na mara kadhaa nikiwa jijini Bangkok, nikitembelee miji kama Huahin, Pattaya, Chiangmai, Nakorn Rachasima. Nasema hivi jiji la Dar es salaam bado Sana Kwa miundombinu huwezi kufananisha na ulaya .
Niliyoyaona Bangkok japo ni asia nasema hivi hata theluthi Yao hatujafikia . Tuna Miaka mingi ya kujifananisha nao . Nenda hata Johannesburg labda utaleta mrejesho