Uzi ufungwe. Nadhani tumeona mtoa mada ni nani.Nalinganisha Picha zawadau wangu walio Ulaya wanazopiga kwa kutumika nguvu nyingi kutafuta background zenye mvuto wa kimiundombinu naona hata huku ni zaidi.
Sio lazima ufike. Hata Googlesatellite unaweza kutembezwa manispaa nzima za Mimi mingi ya Ulaya. Tena ukapewa na 3D view.
Kuna mlaya mmoja tulikuwa tuazunguka akinitembeza kwa google satellite mitaa ya Ireland yote hadi chumba alichopanga tunavuta hadi Dirisha. Kawaida sana
ni suala la muda tu hivyo vibanda vya pembeni vyote vibomolewe pajengwe majengo, kumbuka stendi ya ubungo unahamia mbezi louis hivyo majengo vibiashara vyote vya hapo ubungo inabidi vihame kufuata wateja wao, na hivyo kuacha nafasi ya hivyo vijumba vidogo kubomolewa kujenga vitu vipyaUngekuwa umefika hata Jburg au Pretoria ungegundua kuwa ulichoandika siyo kweli.
Hebu tazama utofauti wa picha hizi mbili
Hii ni ubungo
View attachment 1682166
Hii Gothenburg Sweden
View attachment 1682168
Aisee. Kwa hiyo hujaelewa tu hadi sasa hivi.Uzi ufungwe. Nadhani tumeona mtoa mada ni nani.
Chato huwezi kuilinganisha na kijiji chochote ulaya Mkuu. Uwe na adabu.Mtoa naona unajitahidi sanaaa kufananisha tembo na sisiminzi lkn umeshimdwa kutushawishi ...embu utuletee picha izo zinazo kupagawisha za Dsm then tukushishie picha miji ya izo nchi za ulaya ..unaweza ukazimia mtoa UZI acha zarau nenda CHATO ukaishi
Utakuwa unaumwa wewe sio bure.Weka picha wengine hatujafika huko au ulisimuliwa na wewe
Picha jamani, habari gani hizi za nusu nusu!Tulizoea zamani mtu akienda Ulaya atalazimisha atafute angle ili apige Picha background imtambulishe hayuko Tanzania.
Jana baada ya miezi kama tisa hivi kukaa upande mmoja wa jiji LA DSM bila kuzunguka niliachwa mdomo wazi.
1: Kuna Majengo Mapya makubwa mazuri hatari. Mfano mitaa ya Makumbusho Victoria yaani hadi unatabasamu tu kwa jinsi miundombinu na design zilivyosambazwa pale. Lililoniacha hoi ni jengo moja hivi maeneo ya palm beach. Ile kitu ni matata sana. What a design!
2: Kale kadaraja ka masaki baharini mwanzoni nilidhani ni vile kama vya Miti chini kwa chini Jana nimeshangaa kunastructure za hatari wanazimount pale kumbe ni kitu hatari Sana.
3: Nikapita Ubungo Simu2000 na stand ya mabasi napo kuna road zimesukwa pale ndani ya muda mfupi utapenda. Naona wanajiandaa kuweka taa za barabarani ukiongezea Interchange. Alafu ukichungulia kuelekea Mlimani city aisee pako Bomba sana.
4: Nikachungulia CCBRT, hadi nikadhani nimekosea njia. Kuna zinga la hospitali. Yaani Majengo mengi Mapya mageti mengi ya kuingilia hawajaifungua. Hadi nikajiuliza kwa nini hata Mloganzila ilijengwa. Maana kile nilichokiona Wenda hata Muhimbili inaweza isifue dafu licha ya Eneo kuwa dogo.
Nikapita Mbagala, kuna structure flani barabarani zinainuliwa pale nadhani ni kwa ajili ya mwendokasi au sijui ni daraja basi napo patakuwa poa sana.
Kimsingi nina mpango wa kwenda nchi kadhaa Ulaya lakini nikifika nitapiga Picha kwenye mabarafu tu ila Majengo kama background sidhani maana hicho nilichokiona Jana hata Ulaya hakuna.
Msema Kweli ni mapenzi wa Mungu. Natamani kupata Picha ya aerial views current ya maeneo mengi ya jiji.
Basi ni mpaka huo muda ufike ila kwakuwa haujafika bado watu wana sababu ya kwenda kupiga picha huko ulimwengunini suala la muda tu hivyo vibanda vya pembeni vyote vibomolewe pajengwe majengo, kumbuka stendi ya ubungo unahamia mbezi louis hivyo majengo vibiashara vyote vya hapo ubungo inabidi vihame kufuata wateja wao, na hivyo kuacha nafasi ya hivyo vijumba vidogo kubomolewa kujenga vitu vipya
Acheni dharau?! Yaani unafananisha utopolo Kigali na Dsm,?!! Kuwa na heshima na jiji la Kunenge usilifananishe na vi miji vidogo vidogo, Kigali ni size ya moshi au Arusha.Unafànya mkuu haupo seriously na mada yako Ilaya next levels sisi hata Kigali hatuwafikii.
Hahaha ukada utakuumbua TEMBEA UJIONEChato huwezi kuilinganisha na kijiji chochote ulaya Mkuu. Uwe na adabu.
Uwanja wa ndege runway almost vizio kama vya JKNIA.
Bank,referal hospital, MSD, Mbuga etc, ukileta kijiji ulaya CHANYA yote hayo nitajisaidia hadharani.
Hakuna. Ila usilete nyumba za wanavijiji maana huko bado hatujawafikia
Swali la msingi hili....anajua structure za ulaya??Ulaya ulishawahi kufika?
Ndio maana nme muacha kumbe ni mwehuTomas Edison, Mmarekani na mvumbuzi wa Bulb unajua alianza uvumbuzi wake mwaka gani?
Naku-challenge, soma sio unaropoka tuuuuuuu.
Moshi na Kigali? acha masiharaAcheni dharau?! Yaani unafananisha utopolo Kigali na Dsm,?!! Kuwa na heshima na jiji la Kunenge usilifananishe na vi miji vidogo vidogo, Kigali ni size ya moshi au Arusha.
Ushabiki huu ndio maana huwa tunawaacha mtapeliwe.Ndio maana nme muacha kumbe ni mwehu
Kigali?? Uko serious au unatania...Unafànya mkuu haupo seriously na mada yako Ilaya next levels sisi hata Kigali hatuwafikii.