Wakuu, hatua lilipofikia hili jiji la Dar es Salaam, hakuna tena hamasa watu kwenda Ulaya au US kupiga picha

Ulaya ulishawahi kufika?
Mkuu ni hadithi kama ya Kima wa Usukumani kwenye hadithi za bibi zetu. Kima aliulizwa kwanini macho yako ni mekundu hivyo akasema shauri ya Pwani (Dar) alipoulizwa tena ulishawahi kufika Pwani akasema huwa wananisimulia!

Ndiyo huyo jamaa wa kufananisha Dar na Ulaya wakati hajawahi kufika bali anasikia kwenye hadithi za akina Le Mutuz! Ulaya tusifananishe na vitu vya kijinga!
 
Mkuu ni hadithi kama ya Kima wa Usukumani kwenye hadithi za bibi zetu. Kima aliulizwa kwanini macho yako ni mekundu hivyo akasema shauri ya Pwani (Dar) alipoulizwa tena ulishawahi kufika Pwani akasema huwa wananisimulia! Ndiyo huyo jamaa wa kufananisha Dar na Ulaya wakati hajawahi kufika bali anasikia kwenye hadithi za akina Le Mutuz! Ulaya tusifananishe na vitu vya kijinga!
Hoja yako na Faraja unayompa Mkuu hapo ukiiangalia kwa kuikurupukia utaona ni bonge ya hoja. Ika ukiipima na carbon 14 utagundua inaumri wa kipindi hicho hicho wakati wao jamaa zako wanadanganyana kuhusu kima. Bila aibu karne ya 21 unataka mtu afike ulaya ndio aisemee. Hahahaha . hayo mambo yalikuwa Kabla ya 1990
 
Tulizoea zamani mtu akienda Ulaya atalazimisha atafute angle ili apige Picha background imtambulishe hayuko Tanzania.

Jana baada ya miezi kama tisw hivi kukaa upande mmoja wa jiji LA DSM bila kuzunguka niliachwa mdomo wazi...
ulichoona pale uhasibu njia ya mbagala pale inajengwa flyover.

ajabu serikali sasa hivi imeamua kujenga flyover mbili kimya kimya, kuna flyover hiyo ya uhasibu njia ya kwenda mbagala, halafu kuna nyengine pale njia panda ya chang'ombe.

watu watashangaa zunakamilika ila seriakali haijazungumzia kabisa kuwa kuwa miradi miwili ya flyover nyengine
 
Hii nchi hela nyingi Sana Inaenda kwenye miundo mbinu hasa barabara Kwa Gharama za ufukara wa wananchi...... Kuna jamaa angu engineer huwa namwambia msipopiga hela utawala huu, utawala mwingine ukija mtalia na kusaga meno
Hayo ndiyo hatuyataki.Kupiga pesa sio uzalendo,Sisi tunavuta mbele wengine mna vuta nyuma
 
Nchi hii bila ufisadi ni tajiri sana, umaskini ulitokana na ufisadi uliokubuhu. JPM ameliona hilo na anafanya "ujasiri " kupambana na ufisadi.
 
ulichoona pale uhasibu njia ya mbagala pale inajengwa flyover.

ajabu serikali sasa hivi imeamua kujenga flyover mbili kimya kimya, kuna flyover hiyo ya uhasibu njia ya kwenda mbagala, halafu kuna nyengine pale njia panda ya chang'ombe.

watu watashangaa zunakamilika ila seriakali haijazungumzia kabisa kuwa kuwa miradi miwili ya flyover nyengine
Good. Labda kwa sababu waliahidi 11 mpya
 
Nalinganisha Picha zawadau wangu walio Ulaya wanazopiga kwa kutumika nguvu nyingi kutafuta background zenye mvuto wa kimiundombinu naona hata huku ni zaidi..
1st mkuu hio app ipo muda sana,
2nd act your age,
yaani ni sawa ntumie google Earth kuiona old Trafford kwenye screen alaf nijifanye sina tofauti na mtu aliechoma pesa yke kusafiri mpaka Manchester na kuingia ndani physically, be fvkn SERIOUS..
 
Tulizoea zamani mtu akienda Ulaya atalazimisha atafute angle ili apige Picha background imtambulishe hayuko Tanzania....
Ulaya imebaki jina, China, Japan, South Korea wamejenga vizuri sana ulaya watasubiri kidogo mpaka akili ziwarudie na Tanzania tukiweka juhudi tunawapita sana ndani ya maka 20
 
Hii nchi hela nyingi Sana Inaenda kwenye miundo mbinu hasa barabara Kwa Gharama za ufukara wa wananchi...... Kuna jamaa angu engineer huwa namwambia msipopiga hela utawala huu, utawala mwingine ukija mtalia na kusaga meno
Mkuu umeuwa...
 
Ambao tumesoma na kumuonea huruma huyu muandishi, naomba kialama cha thanks mkitufue hapo. Nipate asante zenu.

NB:Tutafika pale kwa ulaya lakini tuna ka safari bado.

Au nakosea ndugu zangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom