Basi ni vizuri kama wewe utakuwa ni "fake beta male" na sio "real beta male" kma ambavyo nimekuwa nikikuchukulia, japo kwa hii post yako ya leo inaonesha wewe nj real beta ndio maana huyo demu anakuchezea akili kwa kutaka ulee mimba fake.Endelea kunisoma mkuu, maisha ya comments hayana uhalisia wangu kwa asilimia kubwa sana nna masikhara mengi sana ila uhalisia ni tofauti. Na ndio tabia za sisi Keyboard woria.
Hata hivyo sichomeki chomeki kila sehem.. kuna Mali zangu safi mbili nimepoa nazo..π , First question iko π―,
Second question nashauri uadvance kidogo uwe unatembea na kipimo, it's for your own Health π
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
πππMkuu apo kwenye maelezo unasema mlikutana izo tarehe,lakini haujaeleza mlikutana kufanya nini?embu fafanua vizuri mkuu!mlikutana kufanya nini??
HahaaHata hivyo sichomeki chomeki kila sehem.. kuna Mali zangu safi mbili nimepoa nazo..
Hana Mimba, Kwa maana kama aliaanza tare 22 inamaana alimaliza hedhi yake tare 27 .
Kuanzia tare 28 march mpaka tare 2 April Kuna siku sita ambazo ni safe, kuanzia tare 3 mpaka 13 ilikua ndio danger zone, 14 mpaka 19 safe, kwahio hedhi nyingine angeingia kuanzia tare 20/22. Angalia usiwe umepigwa.
πππ daaah!Kuikojolea ufanye wewe, kazi ya kuhesabu tarehe tufanye sisi.
Hahaha, Comment zetu huwa zinajikita kwenye nini?nikakutaja wewe na mwenzio hapa, maana comments zenu huwa zinajionesha nyie ni wanaume wa aina gani.
Huyo bibie aliishia la ngapi mpk asijue namna ya kutumia kalenda hata kama hawezi hapo si ana simu kubwa si apakue application ya period track hiyo ina track hadi dhambiKabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Sio kila mjamzito atatambua dalili za mimba kuwemo tena kama ni mara ya kwanzaKwahiyo hakuna matumaini ya yeye kuingia hedhi sio kwamba imechelewa tu? Kama n mimba mbona hamna dalili nyingine yeyote.
Yana maana gani hayo majina? Au wabongo mnapenda kuwapachika majina watoto wenu bila kujua hata maana yake kisa yana sound vizuri maskioni mwenu?Akiwa wa kiume muite Gian wakike Gianna kila la kheri baba kijacho incase wakawa mapacha majina yanajitosheleza
ππWe 2029 jiandae kulipa ada usilete siasa hapa
Ikiwa mlilombana kati ya March 29 na April 6 au 7 uwezekano mkubwa imoππ€Ύββπ€Όββπ¨βπ¨βπ¦π¨ββ€οΈβπβπ¨Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912