Habari wana jamii forum,
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna watu wana moyo sana, Nakushukuru sana Bantu Lady uliwahi kunitumia pesa nakushukuru sana Mungu akuzidishie naombeni kazi au connection ya kazi jamani nitakufa.
kwa upande wa professional
System administrator
Database administrator . Kazi yoyote nafanya ninauwezo wa kuadapt.
Namba yangu 0754407408
Bantu Lady
Mshana Jr
uttoh2002
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna watu wana moyo sana, Nakushukuru sana Bantu Lady uliwahi kunitumia pesa nakushukuru sana Mungu akuzidishie naombeni kazi au connection ya kazi jamani nitakufa.
kwa upande wa professional
System administrator
Database administrator . Kazi yoyote nafanya ninauwezo wa kuadapt.
Namba yangu 0754407408
Bantu Lady
Mshana Jr
uttoh2002