Wakubwa naombeni kazi nitakufa

Wakubwa naombeni kazi nitakufa

Yote mema

Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
18
Reaction score
60
Habari wana jamii forum,
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna watu wana moyo sana, Nakushukuru sana Bantu Lady uliwahi kunitumia pesa nakushukuru sana Mungu akuzidishie naombeni kazi au connection ya kazi jamani nitakufa.
kwa upande wa professional
System administrator
Database administrator . Kazi yoyote nafanya ninauwezo wa kuadapt.
Namba yangu 0754407408
Bantu Lady
Mshana Jr
uttoh2002
 
Habari wana jamii forum,
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna watu wana moyo sana, Nakushukuru sana Bantu Lady uliwahi kunitumia pesa nakushukuru sana Mungu akuzidishie naombeni kazi au connection ya kazi jamani nitakufa.
kwa upande wa professional
System administrator
Database administrator . Kazi yoyote nafanya ninauwezo wa kuadapt.
Namba yangu 0754407408
Bantu Lady
Mshana Jr
uttoh2002
Pole sana.. Maisha ni kupanda na kushuka.. Jipe ujasiri Mungu atakuvusha.. Nitakucheki
 
Ila kitu kingine Yote mema inaonyesha una ID nyingine, maana hiyo kabla na baada ya hapo sikuiona popote humu. Usije kuwa hii ID unaifanyia michongo.

Unajua, sikukubali haraka mpaka uliposema hata pesa ya kula siku hiyo huna. Kama una ID nyingine acha michezo, kama ni hii tu huwa huitumii sawa, Mungu anisamehe kukuwazia tofauti. Nakutakia mafanikio, unaloomba likawe.
 
linda privacy za watu mama!, uliemfanyia muache yeye aseme vile anavyoweza ila wewe mute!.
Sijafanya kwa nia mbaya, wewe hujui ya humu ndani. Kanitag hapo, ikitokea tofauti mtaniingiza kuwa nami ni tapeli. Kuna kijana aliomba tumchangie rafiki yake ada. Nikatag watu, ilibaki kidogo nitume, kumbe yule kijana alitaka pesa yeye na mods wakaufuta ule uzi. Humu ni msitu, na sidhani kama atakuwa na shida, akisema ina shida nitafuta, utafuta ulichoniquote. Nimekuelewa.
 
Ila kitu kingine Yote mema inaonyesha una ID nyingine, maana hiyo kabla na baada ya hapo sikuiona popote humu. Usije kuwa hii ID unaifanyia michongo.

Unajua, sikukubali haraka mpaka uliposema hata pesa ya kula siku hiyo huna. Kama una ID nyingine acha michezo, kama ni hii tu huwa huitumii sawa, Mungu anisamehe kukuwazia tofauti. Nakutakia mafanikio, unaloomba likawe.
Michezo✅
 
Sijafanya kwa nia mbaya, wewe hujui ya humu ndani. Kanitag hapo, ikitokea tofauti mtaniingiza kuwa nami ni tapeli. Kuna kijana aliomba tumchangie rafiki yake ada. Nikatag watu, ilibaki kidogo nitume, kumbe yule kijana alitaka pesa yeye na mods wakaufuta ule uzi. Humu ni msitu, na sidhani kama atakuwa na shida, akisema ina shida nitafuta, utafuta ulichoniquote. Nimekuelewa.
Sawa madam naomba nichangie pombe hapa nakula bia ila pesa imekata
 
Sijafanya kwa nia mbaya, wewe hujui ya humu ndani. Kanitag hapo, ikitokea tofauti mtaniingiza kuwa nami ni tapeli. Kuna kijana aliomba tumchangie rafiki yake ada. Nikatag watu, ilibaki kidogo nitume, kumbe yule kijana alitaka pesa yeye na mods wakaufuta ule uzi. Humu ni msitu, na sidhani kama atakuwa na shida, akisema ina shida nitafuta, utafuta ulichoniquote. Nimekuelewa.
Hujaelewa maana yangu ni kwa wale wa kweli maana kila mtu akisema aseme aliyotenda humu itakuwa tafrani!, mimi nachoshauri ni anaetendewa aseme yeye maana ndio anaweza kuchuja kipi cha kusema na kipi cha kuchuja.
 
Hujaelewa maana yangu ni kwa wale wa kweli maana kila mtu akisema aseme aliyotenda humu itakuwa tafrani!, mimi nachoshauri ni anaetendewa aseme yeye maana ndio anaweza kuchuja kipi cha kusema na kipi cha kuchuja.
Mimi nimesema nimemkumbuka, ili pia asaidiwe na wengine. Sijawahi sema mtu niliyemsaidia. Huyu nilishamsahau, asingenitag nishasahau.

Siwezi kumbuka kila niliyemsaidia humu na nikimaliza hilo huwa nafuta PM na kufunga. Wee tena nyinyi ndiyo wakwanza kusakama watu, kuwa wote tu wamoja akhuuu nimejihami kabla ya hatari.
 
Mimi nimesema nimemkumbuka, ili pia asaidiwe na wengine. Sijawahi sema mtu niliyemsaidia. Huyu nilishamsahau, asinhenitag nishasahau.

Siwezi kumbuka kila niliyemsaidia humu na nikimaliza hilo huwa nafuta PM na kufunga. Wee tena nyinyi ndiyo wakwanza kusakama watu, kuwa wote tu wamoja akhuuu nimejihami kabla ya hatari.
Haya mama nimekuelewa na nimekupenda kuanzia leo wewe ndo mke wangu wa jf....🤣
 
Back
Top Bottom