Best friend wa shule ya msingi alifariki tukiwa hatujamaliza
O level tulikuwa kundi watu watano tunasumbua sana... kama siku ikitokea kuna mechi kila mmoja atakuja na kilevi anachotakiwa kuleta (tulipeana vitengo, mimi nilikua in charge kuleta weed), kulikua na wa ugoro, pombe kali, wa ulanzi n.k
a) Mmoja alifariki tukiwa form 4
b) mwingine ni ile aina ya watu wanasemwa, "yule alikua zamani"
c) Mmoja anapiga debe stendi
d) Huyu mwingine taarifa zake sina
Advance na chuo sikuwa na marafiki ambao nilivuka nao hizo hatua. Nje ya mada, hivi ni kweli kwamba marafiki wengi wa ukweli tunawapata O level?