Wako wapi watu wako mliosoma wote

Wako wapi watu wako mliosoma wote

Sylvester kubema, alikufa kwenye kifodi cha Majendo nikiwa standard four, mpaka Leo nakumbuka pale mochwari amelala, ubongo nje! Huyo sitamsahau na Bag lake la mgongoni lenye kwamba limeandikwa sport linafunga kwa juu kwa kufinya kamba?
Nick alikufa baharini kwenye mtumbwi ilipigwa na wimbi akirudi mafia kazini.. 😭😭😭 alizikwa ugenini mafia
 
Marafiki wa kweli nilikuwa nao shule ya msingi na o-level, now nimebaki na good memories tulizo share pamoja enzi hizo saiz kila mtu anachapika kivyake na maisha yake. Na katika hao best zangu wote mimi kidogo ndiyo nina onekana na ahueni kidogo ya life 🤣🤣🤣
 
Wako ma comred wengine walipatia maisha, wanawake wakawasumbua, hawakusoma ramani, wakaa kwenye ndoa kuponywa na waliowaumiza, tuliwazika kwa ulevi, organ failures, na kiarusi!
 
Wako ma comred wengine walipatia maisha, wanawake wakawasumbua, hawakusoma ramani, wakaa kwenye ndoa kuponywa na waliowaumiza, tuliwazika kwa ulevi, organ failures, na kiarusi!
Kuna kitu nilitaka niandike hapa..cha kuumiza sana.. Kumbe niko verified.. Anyway.. Sometimes ndoa na michepuko vimewapeleka wengi kuzimu ama kuharibikiwa kimaisha
 
Hasan marehemu, Rama sijui yupo wapi; Festo ndoa ilimtesa mlevi wa kutupa, Aly yupo Norway, hawa walikuwa marafiki wa karibu wa Miriam Odemba, wao na Miriam wote walikuwa wadogo kwangu, watukutu wa kutupa, vita vya mapanga, karate na kila kitu, imagine watoto wa Darasa la sita wanatulizwa na FFU
 
Hasan marehemu, Rama sijui yupo wapi; Festo ndo ilimtesa mlevi wa kutupa, Aly yupo Norway, hawa walikuwa marafiki wa karibu wa Miriam Odemba, wao na Miriam wote walikuwa wadogo kwangu, watukutu wa kutupa, vita vya mapanga, karate na kila kitu, imagine watoto wa Darasa la sita wanatulizwa na FFU
Hawa ndio wale kipindi cha komando yosso Magomeni na Mburahati?
 
Kuna kitu nilitaka niandike hapa..cha kuumiza sana.. Kumbe niko verified.. Anyway.. Sometimes ndoa na michepuko vimewapeleka wengi kuzimu ama kuharibikiwa kimaisha

Ndoa ni chanzo cha hayo mengine yote, laiti ningalirudi Nina miaka 30 nisingeoa Kabisa, na ningekuwa mbali sana, mtu yeyote anayepanga maisha chini ya umri wa miaka 50 au 45, akiwa na mwanamke ajue mambo yanaweza kubadilika mda wowote na akarudi sifuri.
 
Kuna kitu nilitaka niandike hapa..cha kuumiza sana.. Kumbe niko verified.. Anyway.. Sometimes ndoa na michepuko vimewapeleka wengi kuzimu ama kuharibikiwa kimaisha
😁 Brother mshana tumia I'd yako inginee utusimulie..

Just joke

NB. Ulicho KIELEZEA ni UKWELI wa wazi na TUPU.
 
Mmoja yupo techno ( kitengo Cha marketing), mwingine ana ki firm chake mwanza hapo.

Mwingine ambae ni mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max.
Don’t count yourself out before the game starts.
Apply for that job, even if you doubt you’re enough; let them say no, not you.
While others shrink back, scared of rejection, you step up bold. Never shut your own door.
Go for it, fight for your shot, and prove you’re bigger than your doubts.
 
Back
Top Bottom