Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 19,956
- 41,171
Kumbe humpendi samaki maji chumvi eeeHahaha samaki wa baharini nakula basi, zaidi mchele kidg ndo watamu
Hahaha me nikivuka na sea tax tuu, ikipigwa wimbi, natokwa na jasho mwili mzima 😃