Wako wapi watu wako mliosoma wote

Wako wapi watu wako mliosoma wote

Aisee mmoja alikuwa ndezi saizi ni captain jwtz alikuwa anaitwa Mangulu yeye tumemaliza six Kaunga jeshi support ya familia ya kutosha saizi anakula mema ya inchi.......

Maisha ni fumbo bila support kutoboa sio rahisi
stori yako inafanana na yangu kdg, mshkaji kutokana na kumpa gheto kila akitaka kula mbususu akanambia baada ya six twende j.k.t uhakika wa maisha ni 100% nikaleta ujuaji

jamaa akaenda sasa hivi ana nyota 2 JWTZ mie hapa hadi leo naunga unga mishe mishe
 
Baba angu aliweza kua na RAFIKI ZAKE co worker ambao walikua ni marafiki hata baada ya kuhama mkoa na urafiki ulikua kama udugu.

WAZEE WA ZAMANI WALIKUAGA NA UTU SANA NA UPENDO WA DHATI KABISAA KABISA
WAZEE WA ZAMANI WALIKUAGA NA UTU SANA NA UPENDO WA DHATI KABISAA KABISA
wangu alichomwa na mshkaji wake,😡🥺😭
 
stori yako inafanana na yangu kdg, mshkaji kutokana na kumpa gheto kila akitaka kula mbususu akanambia baada ya six twende j.k.t uhakika wa maisha ni 100% nikaleta ujuaji

jamaa akaenda sasa hivi ana nyota 2 mie hapa hadi leo naunga unga mishe mishe
Pole mzee Umenikumbusha mjukuu wa mkuu wa mkoa mmoja mstaafu dogo alikua mtukutu Sanaa

Kwa Sasa ni cheo Cha juu kabisa jeshini ni connection ya Babu yake aliyo isimika miaka zamani Sana so mjukuu anatembelea achievement za babuu.
 
Baba angu aliweza kua na RAFIKI ZAKE co worker ambao walikua ni marafiki hata baada ya kuhama mkoa na urafiki ulikua kama udugu.

WAZEE WA ZAMANI WALIKUAGA NA UTU SANA NA UPENDO WA DHATI KABISAA KABISA
Hiyo huenda ilikuwa zamani, kwasasa unaweza kupata marafiki kumbe wakawa mmeshikamana kutokana na ofa za beer/msosi n.k

Siku ukipata tatizo la kusimamishwa kazi ndiyo utaona rangi zao halisi
 
Eeeh bahn rafiki wa primary tulikuwa close yaan bandika bandua lakini alikuwa na umimi mwingi sikuwezana naye,

Tukatoka hapo nikaenda ordinary level nikapatana na mshkj mmoja then tukawa na crew ya watu kama kumi,

Mshkj wangu huyo hatukuweza kubond tukashindwana though baada ya kufika fom three alitaka tuendeleze urafiki lakini hapo katikati alikuwa akitembelewa na wazazi wake au his sis, lazima aniite sjui kwann, Ila hatukuwa na ugomvi Ila ni ile tuu me kipindi nilikuwa sipend mambo mengi hivyo naona jau,

Mshikaji tumekuja kuonana chuo from o level, tukawa tupo kiaina tuu tukapotezana Juzi nimekutana nae kwenye magenge ya kunywa supu hapo,

Sasa baada ya huyu kushindwana kama nilivyo sema nilikuwa na jamaangu mwingine Ila hatukuwa na bond kiivyo so tukaanza urafiki,

Katika ile crew nilikuwa nawafundisha, ko kila mtu anataka uwe rafiki ake wanafikia hatua wanapigana ili wakae na mm wakati wa kusoma 😂 utoto Raha sana, basi jamaangu huyu wa pili tuka bond ile crew nayo ikapoteza nguvu

sasa mshkj akienda kwao anasema nna jamaangu hv na hv mamake kaja visiting khee, anataka anione basi ndo urafiki na kuwa sehemu ya familia yao ukaanza

Tukaenda tumeua fom four fresh, picha linakuja Advance kila mtu shule yake me mwanza yeye Dom, basi tukawa tunawasiliana fresh kabisa six tukafuta,

Nakumbuka Arusha nna ndugu kibao Ila nilikuwa sifikii kwa aunt upande wa baba, sio kwa broh wala wajomba wala mama makubwa ni kwa jamaa angu, nimetoka JKT nikapita kwao, nikakaribishwa vzr kabisa,

Baada ya hapo nikasepa kuja Dsm, toka kipindi hiko hatujawah kuonana Tena, zaidi ya simu na WhatsApp

sasa ikafika mwaka jana ukimchek yupo busy, mara hv busy, atapatikana mara chache,

sasa mwezi wa tano Juzi nikamcheki hakupokea simu second time kumcheki akapokea direct proportion nikamuuliza tuna ugomvi? Tuna shida gani mzee ? Mbona simu zangu hushiki ? Basi akaeleza situation nzima ilivyo kuwa me nikamwambia fresh Babu nimekusoma ,

Hata saa hzi muda sii mrefu naona katuma text WhatsApp hapo,

Ila advance sikuwa na rafiki at all, ni ile tuu mmekutana disc au mpo table moja ya chakula basi,

chuo napo aaaah sikutaka mambo mengi nikaona nifokasi na mambo yangu, wana labda disc, au wale tuu mnaenda club lkn sio mtu wa kusema huyu naongea nae jambo serious,

Tunapoelekea kwa ambao hatujaoa rafiki wa kweli, washkj wa kweli naona ni familia unayoenda kuiunda,

Nakumbuka mzee alinambia kadri mnavyokuwa hata ninyi ndg wa kuzaliwa kila mtu atashika njia yake, kila mtu ata focus na mambo yake, hamtakuwa na muda wa kuwa pamoja kama mLivyokuwa watoto,

Pambana hakikisha una kazi, oa, usiishi ukisema unamtegemea ndugu yako, akipata tuu familia yake basi hao ndo atakaowaangalia zaidi,

Jumamosi tulivu kabisa kutoka Kigamboni Dsm,

cc secretarybird Hovering Dr am 4 real PhD
 
Mimi kuna co worker tulikuwa wote kituo flani cha kazi, badae tukahama wote.....aisee kanipa connection hadi nimempandisha cheo amekuwa ndugu kabisaa.......
Tuheshimu tu watu, hata on their downfall. Uzuri Mimi sijawahi kujaaliwa dharau.
Baba angu aliweza kua na RAFIKI ZAKE co worker ambao walikua ni marafiki hata baada ya kuhama mkoa na urafiki ulikua kama udugu.

WAZEE WA ZAMANI WALIKUAGA NA UTU SANA NA UPENDO WA DHATI KABISAA KABISA
 
Mimi kuna co worker tulikuwa wote kituo flani cha kazi, badae tukahama wote.....aisee kanipa connection hadi nimempandisha cheo amekuwa ndugu kabisaa.......
Tuheshimu tu watu, hata on their downfall. Uzuri Mimi sijawahi kujaaliwa dharau.
Kweli Kuna watu Wana roho NZURII Sana hawana wivu Wala Hila Hawa kwa kimombo wanaitwaga SENT FROM HEAVEN
 
Kweli mkuu wanasemaga pata matatizo uwajue watu/ndugu wako/ zako wa karibu, firisika ujue ya mkeo
Kabisa Mkuu

Binafsi nimeweza kupunguza idadi ya marafiki kutoka 12 hadi kubaki na wawili tu, nimeona nibaki na wachache ambao tunaweza kubebana pale tunapokwama Kila mmoja

Kuliko kuwa na marafiki 12 lakini ukipata changamoto ya milioni 3 hakuna mwenye uwezo wa kukusaidia

Ila wao wakiwa na shida, wanataka uwasaidie 🙌
 
Kabisa Mkuu

Binafsi nimeweza kupunguza idadi ya marafiki kutoka 12 hadi kubaki na wawili tu, nimeona nibaki na wachache ambao tunaweza kubebana pale tunapokwama Kila mmoja

Kuliko kuwa na marafiki 12 lakini ukipata changamoto ya milioni 3 hakuna mwenye uwezo wa kukusaidia

Ila wao wakiwa na shida, wanataka uwasaidie 🙌
Hivi nilisha kwambia wewe ni rafiki yangu?, Kama bado niongeze kwenye list.

Nb, nikija dar usi nikimbie😆
 
Back
Top Bottom