Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,311
- 37,077
Ni kweli mkuuMzee wako alijua kukujenga sana Mkuu, naona amekupa principals nyingi za maisha
Huwezi kufanikiwa Kwa kuwa na lundo la marafiki ambao sio msaada.
Ni kweli mkuuMzee wako alijua kukujenga sana Mkuu, naona amekupa principals nyingi za maisha
Huwezi kufanikiwa Kwa kuwa na lundo la marafiki ambao sio msaada.
Mungu ampe maisha marefu 🙏🙏Ni kweli mkuu
Wewe sio wa kula maharage 🤣🤣😅Hahahaha nipo hapa nachambua maharage 😂
Nakwako pia naamini GOOD PEOPLE ARE STILL EXIST.Mungu ampe maisha ma marefu 🙏🙏
Daaah kwann bruh 😂Wewe sio wa kula maharage 🤣🤣😅
Dah kweli hadi sisi ma jobless pro max tume Anza kuheshimika🙏.Kuna comment moja ili nisaidia Sanaa ntakuchek kwa simu nikuelezee 🙏
Hapo kigambonino si ni karibu na baharii samaki KIBAODaaah kwann bruh 😂
Powaa nakutext Sasa ivi.Dah kweli hadi sisi ma jobless pro max tume Anza kuheshimika🙏.
Kidumu chama Cha ma jobless pro max.
Whatsapp mkuu, niko likizo.
Shukrani sana Mkuu!🙏🙏🙏Nakwako pia naamini GOOD PEOPLE ARE STILL EXIST.
Wewe pia ni mmoja wao
🙏🙏🙏Pamoja sana mkuu
Me ninao wote hao rafiki yangu wa chuo baada ya kumaliza kama mwak hivi alijinyonga geto alipopanga sku 3 ndoinajulikana tena alikuwa mtu wa dini na msimamo.
Hawafai hao wanakulengesha kwa kikos kaz unamalzwa.Hao wanaweza wanaweza kukufanya kitu kibaya na macho makavu
Aligongwa au?Sylvester kubema, alikufa kwenye kifodi cha Majendo nikiwa standard four, mpaka Leo nakumbuka pale mochwari amelala, ubongo nje! Huyo sitamsahau na Bag lake la mgongoni lenye kwamba limeandikwa sport linafunga kwa juu kwa kufinya kamba?
Hahaha samaki wa baharini nakula basi, zaidi mchele kidg ndo watamuHapo kigambonino si ni karibu na baharii samaki KIBAO
Dagaa Mchele, vibua na perege hata kwa ndoano unawanasa.
☺️😊
Aligongwa au?