Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,157
- 18,114
Tag location uko wap tuna arrange each en everything kuhusu kula na kunywa tuuWahivi ndo ninao wataka tu.
please count me in..
cc Dr am 4 real PhD
Tag location uko wap tuna arrange each en everything kuhusu kula na kunywa tuuWahivi ndo ninao wataka tu.
please count me in..
Sasa niki apply hizo jobs, chama Cha ma jobless pro max kita baki na nani?.Don’t count yourself out before the game starts.
Apply for that job, even if you doubt you’re enough; let them say no, not you.
While others shrink back, scared of rejection, you step up bold. Never shut your own door.
Go for it, fight for your shot, and prove you’re bigger than your doubts.
Na nani.Sasa niki apply hizo jobs, chama Cha ma jobless pro max kita baki na nani?.
Cheka ni kwa bruh, Dr am 4 real PhD mm nipo mikadii hapaNikirudi bongo nitakuja CHEKA
Kwani wapi nime sema nataka kazi mkuu?Na nani.
Nani ataendelea kuwa kiongozi.
Wewe nenda ka apply kazi, nani ataendeleza jahazi.
Imekaa poa pia. Kuna upepo wa beach huko.. Nitakuja nikumbukie enzi💪🏿Cheka ni kwa bruh, Dr am 4 real PhD mm nipo mikadii hapa
Acting dumb is actually really fvcking fun. There's so much freedom when people think you're an idiot.Kwani wapi nime sema nataka kazi mkuu?
chama ni Bora kuliko mwanachama, kidumu chama Cha ma jobless pro max
You know it's real when you're, who you think you're.Acting dumb is actually really fvcking fun. There's so much freedom when people think you're an idiot.
Welcome back brother.Nikirudi bongo nitakuja CHEKA
Naaaam mzee wangu karibu sanaImekaa poa pia. Kuna upepo wa beach huko.. Nitakuja nikumbukie enzi💪🏿
Vipi na sisi ma jobless pro max tuna ruhusiwa, sisi hata tuki kaa chini sio mbaya.
Nikitoka kazini lazima nipite Mlimani City nipate kahawa lakini sioni watu yan sijui wameishilia wapiMlikuwa darasa moja lakini hatima hazikufanana.. Mlijenga urafiki mkashirikiana katika mengi. Lakini hatima hazikufanana.
Wengine mkafikia hatua ya kuwa familia kabisa.. Kwenu kwao na kwao kwenu. Lakini hatima hazikufanana
Mlikaa dawati moja mkasaidiana masomo, wengine mkacheza pamoja lakini hatima hazikufanana
Darasa moja mkifanana karibia kila kitu, umri sare za shule, family background lakini hatima hazikufanana
Wakumbuke watu wako mliokuwa nao darasa moja leo hii wako wapi na wewe uko wali
Ulikaa na waziri dawati moja
Ulikaa na jambazi dawati moja
Ulikaa na professor, na daktari na engineer
Ulikaa na marehemu😩😔 na mwasiasa mkubwa na tajiri mkubwa, na msanii marehemu.. Fumbo la maisha.. Fumbo la hatima..!
Wengine walikuwa marafiki wakubwa leo ni maadui wakubwa na kinyume chake
Je wewe uko fungu gani? Uko kundi gani? Je wewe ni mmojawapo wa kujitapa kwa watu kwamba ulisoma na fulani na ulimsaidia sana darasani!?🤔😔 Ama wewe ni mfano kwa wengine
Achana na chuo .. Waangalie watoto wanapomaliza shule ya msingi (huwa wanajiita L.Y) Walivyo na furaha ya hatima. Hawajui nini kinawasubiri
Ni ingizo jipya mtaani kwenye dunia isiyo na huruma
Wanaoendelea ni wengi wanaoishia mwanzoni ama katikati ni wachache.. Mimba, ndoa, wizi, madawa jela, 🥺😭 uchizi, nknk
Vita ya hatima.. Ni vita ya kiroho.. Asili, ndoto, mipango na kudra hubeba hatima zetu
Unakumbuka ulipokuwa unaulizwa unataka kuwa nani maishani!?
Unakumbuka mlivyokuwa mkisimuliana vile utakuwa nani ukiwa mkubwa?
Vita ya hatima! Wako wapi watu wako❗❗❗View attachment 3367980View attachment 3367982
Hahaha sijui kwanini nime rudia kuisoma halafu nika cheka Sana 😂😆.Acting dumb is actually really fvcking fun. There's so much freedom when people think you're an idiot.
Cappuccino ehh?Nikitoka kazini lazima nipite Mlimani City nipate kahawa lakini sioni watu yan sijui wameishilia wapi
Sisi tutakuwa wahudumu Ila hakuna kulipwa maake tukipokea malipo chama kitakufaVipi na sisi ma jobless pro max tuna ruhusiwa, sisi hata tuki kaa chini sio mbaya.
Sio kweli mkuuHahaha sijui kwanini nime rudia kuisoma halafu nika cheka Sana 😂😆.
Halafu una jua mkuu mi sija wahi kwenda shule mkuu, tuongee kiswahili 😂