Wako wapi wale anti Kagame?

Hahaha ile keyboard yako inayo type kifaransa siku hizi umeiacha wapi mkuu? Sponsors wamekubadilishia simu nini?hahah, by the way Burundi mnaendeleaje huko?
Usipende kuchekacheka mkuu, hapa tunajadili mambo muhimu kwa mustakbali wa afrika halafu wewe unachekacheka! Umekutana na nini huko uliko ?
 
Masilahi ya nchi lazima yatatafutwa na kusimamiwa kwa namna yoyote ile. Na kujenga reli ili kuimarisha uchumi wetu ndio shabaha kubwa na inatupasa kujadili mienendo yetu kiuchumi kama taifa, sio kujadili mambo ya watu binafsi.
hii mada tunajadili watu binafsi na ndo maana hata heading kuna jina la mtu binafsi dhidi ya nyie watu binafsi pia. ndo maana nilikuuliza unajadili mada ipi?!
 
Usipende kuchekacheka mkuu, hapa tunajadili mambo muhimu kwa mustakbali wa afrika halafu wewe unachekacheka! Umekutana na nini huko uliko ?
Coward interahamwe una nini cha maana cha kujadili zaidi ya uwendawazimu tuu,potea tuu
 
Umeshakuwa mwehu siku hizi wewe ni wa kupuuza tuu
 
Haha utanzania kumbe ni dili eeh? Muandïko wa mtanzania unajulikana. Mrwanda na mrundi miandiko yenu tunaijua. Naona mnashambuliana warundi na warwanda, na kila mmoja kujiona ni mtanzania zaidi kuliko mwenzake.
 
Mwulizee General Kayumba Nyamwasa!!
 
Umeshakuwa mwehu siku hizi wewe ni wa kupuuza tuu
Ndicho kipaji ulichonacho, kutukana. Wenzako tunabishana kwa hoja wewe unakimbilia kutukana, huna chochote kichwani zaidi ya matusi.
 
Usipende kuchekacheka mkuu, hapa tunajadili mambo muhimu kwa mustakbali wa afrika halafu wewe unachekacheka! Umekutana na nini huko uliko ?
Hahaha Oyaa ile simu yako yenye keyboard ya kifaransa umeiacha wapi aisee? Mustakabali wa Africa ujadiliwe na taahira kama wewe?Nendeni Burundi mkaendelee kuchinjana hapa hakuna cha Mustakabali wala nini.
 
Well said Myunga
 
sisi wote ni waafrika hatuna haja kugombana rangi yetu ni moja hata mila zetu ni moja wote tunakula ugali...tujikite kufanya kazi kwa bidii sana ili tufanikiwe zaidi sisi waafrica kinachotutesa sana ni umasikini na ujinga....
 


Unawataka waje, ok, subiri KAGAME aropoke kwa kuisema Tanzania kama nchi, serikali au JPM mwenyewe. Hapo ndipo utakapowasikia na vile vile kama wale wafugaji wenye ng'ombe wa pembe ndefu wataendelea kubaki mkoani Kagera.
 
Ni sawa!!ila maslahi ya nchi kwanza!!ziara ya MAJALIWA imepata picha kubwa sana!!utekelezaji tu sasa ktk kulinda mipaka ya nchi!!
 
Duh! haya tuambie wewe unayoyajuwa! nafasi ya Kagame ilikuwa ni ipi katika machafuko ya Rwanda? nikumbushe kidogo mauwaji ya kimbali yalifanywa na nani dhidi ya nani vile? jMali
 
poa! sijapotea huwa ninategeshea nione jinsi mnavyo chemka! ona sasa kama hivi vigezo vya uongo
muulize jMali kabla ya kuanza masomo mwalimu alikuwa anauliza nini! ilikuwa ni kama vile wimbo wa taifa, lazima watutsi wajitambulishe na mwalimu aanze kuwauliza jinsi wasivyo na haibu ya kwenda shule! can you imagine? kuto ruhusiwa kukamata passport, kutoruhusiwa kupata fursa za kazi serikalini na mengine kibao! lakini sina wakati wa kukufundisha sana ila hii article nayo inaweza kusaidia kupunguza misumu kutoka kwa akina vyuma na Bukyanagandi http://www.nytimes.com/1964/02/09/savagery-marks-tribal-warfare-in-rwanda.html?smid=tw-share
 
OK tuachane na wamarekani! so what about, Rwanda imejaa na mlioko nje mfie hukohuko ukimbizini! hiyo nayo imekaaje? kwanza unapaswa uitoe kichwani kwako hiyo idea ya vita ya ukombozi ndio imeleta Genocide ni wendawazimu!
 
naona povu tupu! swali mko wapi anti kagame? jibu lishapatika wengi wamebadilika na move ila kuna nyie wachache bado mpo kazini ita tambueni hivi sasa mtabomolewa tu na vyokovyoko zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…