mkuu ukiwa police sio sawa na askari magereza,sirro ni mtu wa dini sana ila amini kwamba ilibidi awe mtata kwenye baadhi ya mambo, ernest mangu mtu poa sana ila akaonekana sio poa,hata jeshini MP MILLITARY POLISI ni wakali sababu the nature of the force is to ensure the law is obeyed,yaan wewe unakuwa mwalimu wa nidhamu,mwalimu wa nidhamu hajawahi kuivana na mwanafunzi.Makamanda wazuri weng tuu ila mfumo.leo muliro anaonekana maneno meng wakat namfahamu muliro mtu poa sana na ni jembe la kazi.
MAJUKUMU YA KAZI na DHURUMA vitu viwili tofauti
kuna tabia ambazo NATURE mtu anazariwa nazo yupo hvyo
mfano MAGUFURI ukali ndio nature yake lkn kuna mambo mengine yapo kimfumo aliyakataa 7bu hawezi kwakuwa moyo wake una UTU ndani yake
Samia ni mpole lakini umeona alivyojifunza UBADHADHI yeye kaamua kwenda na mfumo na mfumo ukambadirisha ndo yupo hvyo sana unavyomuona
nadhani mpk kuna wakati unashindwa kuelewa huwa anawaza nini
Unajua VIONGOZI wengi hupenda kutumia mifumo ya kifalsafa na ndio inayowafanya kubadilika na kuwa na roho za kinyama
Viongozi wachache walioamua kutumia mifumo ya KIDINI wengi walipendwa na wananchi na wakiacha LEGANCY nzuri kabisa
MAHITA alikuwa na ROHOMBAYA ile nature na aliishii hvyo so ukijumrisha na MFUMO ndo akazidi kuishi KIWAKI
TIBAIGANA na GEWE walijitahidi kubalance ya kimfumo na vile roho zao zilihitaji
umesema SIRRO mtu wa DINI ila mfumo ulimbadirisha
ila kama angeamua kubalance ya kimfumo na moyo safi wake basi kuna legancy angeacha akakumbukwa
pamoja na wote tunakubari magufuri ndio chanzo cha kudhoofisha DEMOKRASIA nchini na kukandamiza wapinzani kwa ujumla
lakini legancy yake ya uzarendo kwa TAIFA na Wananchi kwa ujumla haitasahaulika
DUNIA itakukumbuka kwa kile ulichokifanya ambacho kilihatarisha hata REPUTATION yako kwa mfumo
lkn kama utasema uhusujudie MFUMO lazima mwisho wako utakuwa wa majuto mateso
wanasema huwa KUFA HUFI ila cha moto utakiona
kwa KAWAIDA kinzuri hakidumu
sisi husema mtu MWEMA hufa mapema sana
lakini wale wema zaidi na wakaishi na MUNGU ndani yao bila Unafiq huishi maisha marefu sana yenye baraka na AFYA njema
Kumbuka nikisema MFUMO basi uanzia ngazi ya DUNIA kabisa na kila kinachotokea na kutendeka
kuna watu wamekipanga
unakumbuka Unaenda low school middle school HIGH school then UNIVESTY kisha unagraduate some wanapata kazi na kulipa mkopo(they dumble but still with some monaye)
lkn wengi huwa still dumble with Debit
wasted mda wao na ELIMU mfumo ambao umewafanya kuwa very dumble 7bu hawana ela hawa watu wanaweza kufanya chochote 7bu mfumo ukishwaharibu ni wachache huamua kupambana vingine 7bu wanakuwa waneshakubari kuwa MFUMO umewapotezea muda so wanamoveON
so unaweza kuamua kuishi nje ya MFUMO but uwe mwenye kuamini MUNGU yupo