mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,909
- 13,288
Work true true-Kazi kweli kweliVitafunio = Meno = ❌.
Vitafunwa = Vitafunwa/Snacks eg Cakes = ✅.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Work true true-Kazi kweli kweliVitafunio = Meno = ❌.
Vitafunwa = Vitafunwa/Snacks eg Cakes = ✅.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Yeah hata hiyo chai anabandika sufuria yenye maji kwenye jiko kisha anaenda sebuleni kuchat kwa simu yake,ikishachemka anakuwekea kwenye kikombe kisha anaendelea kuchat ukishamaliza kunywa chai vyombo peleka mwenyewe jikoni au house girl ndio aje kutoaKweli kabisa atakayebisha huyo ni mbishi tu, wanawake wetu wa kikristo hasa wasomi hawajui kabisa kupika, hata wakipika chai tu wanaunguza ndio maana wanaishi kwa kula chakula cha take away...
Na mihogo yenu iyo iliyopikwa kama uji ndio mseme mnajua kupikaNdio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Udini unakumaliza live, udini kitu cha hovyo sanaNdio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Kama ukiwaandalia roasted pork(kiti moto) ndiyo utakuwa umeandaa mambo mazuri na ndipo utajua chakula kitamu sana ni kipi.Ndio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Wanazitaka ndoa halafu cha ajabu hawazijui kasoro walizonazo utawasikia wanaweka vigezo na masharti yao kama hivi"Mwanamme atakayemuoa awe na uwezo wa kulipia mahari ya milioni 200"Leo hii wewe ukimlea binti yako wa kikristo katika misingi ya kumuandaa kuja kuwa mke bora huko mbeleni, unaambiwa eti unamuandaa kuja kuwa mtumwa wa mwanaume..😙 ni huzuni... matokeo yake ndio tunapata wanawake kama joyce kiria, ambao hawana sifa za kuolewa ila wanazitaka ndoa.
Kuja jamii za ovyo kwenye malezi kama za Wavaa kobasi....elimu zero, maendeleo zero, Uchawi na ngono ndio kitu wanaweza sanaWanazitaka ndoa halafu cha ajabu hawazijui kasoro walizonazo utawasikia wanaweka vigezo na masharti yao kama hivi"Mwanamme atakayemuoa awe na uwezo wa kulipia mahari ya milioni 200"
Na hapo kwenye malezi kuna mambo mengi sana hapa yanayoharibu watoto,kwa mfano wazazi wa kikristo kwao hawaoni tatizo kwenda kuchukua pombe bar na kuja kunywea nyumbani na watoto wanaona laivu kwa hiyo hao watoto wakishakuwa lazima pia waje kuwa walevi wakidhani kuwa ulevi umehalalishwa na ni kitu cha kawaida.
Sasa ukishakuja kuoa kwenye familia ya aina hii huyo mwanamke unadhani atakuwa na muda wa kuwaza kupika au kuremba chakula?Yeye muda wote atakuwa anawaza kubadilisha viwanja vya bata,kila wakati anasuburia iite apigiwe simu na marafiki zake waende viwanja.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sema wanajua kuweka viungo sio kupika wanajaza mavitu mengi balaa nyie ndo mnaona mtu akiweka tangawizi,mdalasini,kitunguu saumu, ndo kujua kupika unakuta unakula pilau unatafuna vigogo tu vya mdalasini wali upo kidogo.
Hapo kwenye kudhani ukiwa na elimu inamaliza kila kitu ndio inayoharibu malezi na maadili pamoja na tamaduni.Kuja jamii za ovyo kwenye malezi kama za Wavaa kobasi....elimu zero, maendeleo zero, Uchawi na ngono ndio kitu wanaweza sana
Jamaa yuko sahihi, wanawake wa kiislamu ni wasafi mno.Usafi sio kweli.
Si hivyo tu, hata kuongea hawajui.Ndio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Wakazi wa Arusha na Moshi hata ukipanda kwenye daladala/hiace unasikia harufu nzuri tu ya uturi, huwezi kusikia harafu ya jasho kama watu wa Dar. Hata kwa mavazi ni nadhifu sana.Sio usafi huo wa kufyagia barabara au kuokota makaratasi na kuyatia kwenye dustbin hapa unaongelewa usafi wa mtu binafsi yaani kuanzia mavazi uliyovaa nje ya mwili na usafi wa ndani ya mwili.
Yaani kwa mfano unaweza ukamuona mtu amevaa mavazi yanayong'aa na kuvutia lakini ukimsogelea anatoa harufu mbaya maana yake mtu huyo bado hajui usafi.
Hope umeelewa
Kwani utamu wa kwenye chakula ni nini?Ndio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Mnajua kupikaNdio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Kwa maelezo yako may be uko sahihi kwa asilimia fulani ila kuna kitu kidogo tu bado hukumuelewa mtoa mada,ukielewa hicho kitu utaongeza uwelewa zaidi.Wakazi wa Arusha na Moshi hata ukipanda kwenye daladala/hiace unasikia harufu nzuri tu ya uturi, huwezi kusikia harafu ya jasho kama watu wa Dar. Hata kwa mavazi ni nadhifu sana.
Pia Migahawa ya aina zote na mama ntilie wa Arusha na Moshi wanahudumia kwenye mazingira ya usafi sana.
Wewe ukiwa na mtoto wa kike/binti utamuandaa kuja kuwa mke wa mtu wa kutegemea mwanaume tu au utamuanda kuwa mtu wa kujitegemea mwenye kazi yake nzuri inayomuingizia kipato??Na utofauti huu unatokana na aina ya malezi.
Mabinti wa kiislamu huwa wanaandaliwa kuja kuwa wake bora tangu udogoni na moja ya vitu muhimu vya kuzingatia kwa mtu anayejiandaa kuja kuwa mke wa mtu ni sanaa ya upishi... na ndio maan mabinti wa kiislamu wengi hata wasomi ni wataalamu sana kwenye masula ya mapishi, mimi mwenyewe katika wanawake wote wa kiislamu niliowahi kuwa nao kimahusiano hakuna hata mmoja ambaye alikuwa hajui kupika, kwanza walikuwa wananisahaulisha kabisa kula kwa mama ntilie...
malezi yao ni tofauti kabisa na mabinti wetu wa kikristo hasa wa kisasa ambao wao tangu udogoni wanaandaliwa kuja kujitegemea kiuchumi, na wala hawaandaliwi kuja kuwa wake za watu.
Leo hii wewe ukimlea binti yako wa kikristo katika misingi ya kumuandaa kuja kuwa mke bora huko mbeleni, unaambiwa eti unamuandaa kuja kuwa mtumwa wa mwanaume..😙 ni huzuni... matokeo yake ndio tunapata wanawake kama joyce kiria, ambao hawana sifa za kuolewa ila wanazitaka ndoa.
Mtu ameshajiita malaria mwenyewe bila shurti, kuna mtu hapo? We una matatizo ya afya ya akiliNdio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao
Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu