Wakiristo hawajui kupika vyakula vitamu?

Wakiristo hawajui kupika vyakula vitamu?

Wanaojua kupika
Wahindi
Jamii ya Wasomali,Ethiopia hawa jamaa wana balaa sana huo mpunga utadhani wanalima wao aisee...
Forsburg,Johannesburg wapo wote hao muda wa mchana inakua foleni ya kutosha watu wakifata chakula cha mchana hapo..
Wasomali kwenye mapishi nawakubali sana🙌, wakikupikia pilau lazima ujilambe mpaka kiwiko cha mikono.
 
Wasomali kwenye mapishi nawakubali sana🙌, wakikupikia pilau lazima ujilambe mpaka kiwiko cha mikono.
Hao Wanaokamatwa Tanzania huku ndio kazi yao kubwa kufungua restaurant jamaa wanapika aisee harafu wanasema Watanzania tuna roho mbaya sana kuliko Mataifa yote huko juu tunawanyanyasa mno huwa siwajibu kitu..
 
Mimi nimezaliwa hapa mikindani na nikakulia hapahapa na baadae nikahamia kilwa sasa mpaka nimejiuliza pwani unayoizungumzia wewe ni ipi?kuna wale madigala wakisukuma kipindi madini ya tunduru kutema walisema hakuna sehemu wamekutana na wanawake rahisi kama mtwara na lindi
Kilwa/Lindi na Mtwara hiyo inaitwa kusini japo kuna baadhi ya mila na desturi zinaingiliana.
Pwani ni Dar es salaam,Pwani(Bagamoyo/Rufiji/Mafia/Mkuranga) na Tanga.
Halafu hiyo sababu yako uliyoitoa hata haihusiani na maadili,kuwa mrahisi au mgumu ni kitu tofauti kabisa na maadili.
Labda nikuulize swali moja la kizushi halafu utachekecha mwenyewe akilini mwako.
Hivi kuna wale wanawake mfano wakina Irene Uwoy utasikia wanasemaga hivi,nanukuu"Mimi sipatikani kirahisi ili mwanamme anipate mimi anatakiwa awe na mahali ya milioni 500" hivi wale ndio maadili yao mazuri?
Sasa wewe mwanamke umemfuata ukamuomba muwe wapenzi anakukubalia baadae unakuja kumlaumu,na akikunyima baadae utalaumu tena na kusema wana roho mbaya sana wale,wana ubinafsi wanapeana wenyewe kwa wenyewe tu(jokes)
 
Hapo kwenye uvumilivu sidhani kama upo sahihi.
Wa kiislam kudai talaka chap Mara moja wakiona ramani haisomeki.
Ni kweli ukimkosea lazima adai talaka,kwa mfano kabla ya kumuoa unamdanganya kwamba wewe ni mtu safi hupendi michepuko na wala hunywi pombe baada ya kumuoa anagundua kumbe una michepuko na ni mlevi ila ulikuwa unamuigizia tu hapo lazima adai talaka.
 
Hili jambo linatokea sio kwa bahati mbaya au udini hapana ni ukweli familia nyingi za kiislamu mtoto wa kike kujuwa kupika ni sifa kama amekuwa, wakati Mama anapika na yeye alirithi kwa Bibi huko anataka mtoto wake wa kike ajifunze kusaidia jikoni kuwa kuna siku atakuwa na nyumba yake lazima umpikie mume. Upande wa pili sisemi kwa nia mbaya yeye huyo Mama kupika hajui labda kutwa yupo kazini dada wa kazi anapika wala haitokei kusema ampikie mume wake sasa mtoto wake wa kike utamfundisha nini? Kwa ujumla ni malezi haya tunayaona ni matokeo tu lakini sio kwamba muislamu anajuwa na mkristo hajui. Mimi binafsi mke wangu chakula nacho kula mimi yeye anapika sio mdada wa kazi hapana.
 
Kilwa/Lindi na Mtwara hiyo inaitwa kusini japo kuna baadhi ya mila na desturi zinaingiliana.
Pwani ni Dar es salaam,Pwani(Bagamoyo/Rufiji/Mafia/Mkuranga) na Tanga.
Halafu hiyo sababu yako uliyoitoa hata haihusiani na maadili,kuwa mrahisi au mgumu ni kitu tofauti kabisa na maadili.
Labda nikuulize swali moja la kizushi halafu utachekecha mwenyewe akilini mwako.
Hivi kuna wale wanawake mfano wakina Irene Uwoy utasikia wanasemaga hivi,nanukuu"Mimi sipatikani kirahisi ili mwanamme anipate mimi anatakiwa awe na mahali ya milioni 500" hivi wale ndio maadili yao mazuri?
Sasa wewe mwanamke umemfuata ukamuomba muwe wapenzi anakukubalia baadae unakuja kumlaumu,na akikunyima baadae utalaumu tena na kusema wana roho mbaya sana wale,wana ubinafsi wanapeana wenyewe kwa wenyewe tu(jokes)
Kichwani mwako muna shida sana aisee eti mtwara na Lindi sio pwani wakati tunashea kila kitu na hao unaowaita wa mkuranga na huko bagamoyo...
 
Jidanganye na ukijichelewesha chelewesha leo tegemea kukutana na sold out
 

Attachments

  • 20250330_114350.jpg
    20250330_114350.jpg
    37.4 KB · Views: 9
Ndio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao

Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
Labda wanazingatia maelezo ya Prof J 🙂🙂
 
Matatizo hayachagui mzee....hata mambo ya vyama/siasa Yana matatizo yake
Dini yoyote ambayo imetanguliza mambo ya vyakula mbele jua ya kwamba ulafi upo mbeleeeee zaidi ndo maana wakati wa mfungo wao hula zaidi kuliko kawaida
Sasa unajiuliza wamefunga au wamebadilisha mlo.
Chunga sana mambo ya udini utajikuta matatizoni.
Ni mimi mchangiaji asanteee ni
 
Nawa~Zoom Halafu Nasema Hii Bhaghosha Sana
By Mzilankende
 
Back
Top Bottom