Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,818
Dhambi zimeeanza kurudi mpaka kesho kutwa zitakuwa zimerudi zote
Usafi sio kweli.Kwenye masuala ya usafi, mapishi, utiifu na uvumilivu(nyakati za shida) wanawake wa kikristo wamezidiwa kwa mbali sana na wanawake wa kiislamu.
Ukitaka kufurahia mapenzi tafuta ustadhati mmoja alieshika dini weka ndani
WaislamuWakiristo?
Kwa experience yangu ni kweli.Usafi sio kweli.
Wazi mkuuAsisahau kumeza ARV zake
NakupitilizaDhambi zimeeanza kurudi mpaka kesho kutwa zitakuwa zimerudi zote
Arusha na Moshi ndio mahali kunapoongoza kwa usafi nchini.Kwa experience yangu ni kweli.
Mkuu hata pilau la Idi haujala tayari umeanza dhambi.....si uvumilie walau kidogoWakiristo wana shule? Shule ya kuuza pombe ya kienyeji?
Wewe kupika unajua sana tu...
Kuhusu ilo sijawahi kulifanyia uchunguziArusha na Moshi ndio mahali kunapoongoza kwa usafi nchini.
Ni kweli hata hapa nilipo pamepungua order tokea waislam wafunge meaning waislam ndio walaji wakubwaKuanzia kesho, nyama ya kitomoto itapanda sana Bei.
Kula vya halali sio tatizoNi kweli hata hapa nilipo pamepungua order tokea waislam wafunge meaning waislam ndio walaji wakubwa