Hapana sikukaribii mkuu.Kama unakaribia 30yrs tunalingana au kukaribiana.
Hapana sikukaribii mkuu.Kama unakaribia 30yrs tunalingana au kukaribiana.
Anakudanganya ni Mmagoma wa Ipelele sio Mkinga halisi huyo!hivi wewe ni mkinga wa Bulongwa sehemu gani?
MapembeloAnakudanganya ni Mmagoma wa Ipelele sio Mkinga halisi huyo!
Vavene, ila me ni wa Mwakaleli MkuuMapembelo
Ndagha gwe Lebhi, gwe MWAKATOBEVavene, ila me ni wa Mwakaleli Mkuu
Ndaga fijo MwaisaNdagha gwe Lebhi, gwe MWAKATOBE
Una 20yrs toa shikamoo basi.Hapana sikukaribii mkuu.
Shikamoo kakaUna 20yrs toa shikamoo basi.
Mali ya haba enzi za Magufuli.Shikamoo kaka
Sawa mkuu.Mali ya haba enzi za Magufuli.
Ukija Dar nitafute mimi Njombe na Mbeya naona mbali sana tangu nije Dar.
Soma post yako vizuri halafu uniambie kina SANGA ni Kabila gani?Wamahanij ni Kyando,Luvanda,Mbogela,Fungo,Ngajilo/yilo,Tweve,Sanga,Mvela,Sigala nk.
Wakinga ni Mahenge,Sanga,Mbilinyi,Chaula,wengine nimesahau tatizo mimi Mahanji.
Msigwa wote kiasili ni Wakinga sio Wahehe.
Ni nchi gani duniani hawajengi kwa wenzao.Mnajenga miji ya wenzenu Makete inachakaa kwa vumbi
idiot kangi, mweeee mapembelo akalele leloNi nchi gani duniani hawajengi kwa wenzao.
Idiot
Bujibuji keta kutamya bhanino?idiot kangi, mweeee mapembelo akalele lelo
Kila raia ana haki kuishi popote pale kama ana pesa zake,sio lazima kuishi Bulongwa.idiot kangi, mweeee mapembelo akalele lelo
Hayo ndio maneno sasa,Kila raia ana haki kuishi popote pale kama ana pesa zake,sio lazima kuishi Bulongwa.
Nimezaliwa Bulongwa kikazi nipo Dar,mbona ni kawaida,kama upo Dar njoo nyumbani tushauriane jinsi ya kuwekeza hapa mjini.