Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,447
- 5,465
Hivi hawa wanaofanya matembezi na lemutuz bajeti yake kwenye msosi ni sh ngapi? anabehave vepe kwenye meza ya msosi???
bhahahaaaah make make nawaza tu yale matendo yake ya kiteenager...!
Hivi hawa wanaofanya matembezi na lemutuz bajeti yake kwenye msosi ni sh ngapi? anabehave vepe kwenye meza ya msosi???
huyu ni teacher mpamire comedian wa uganda
Jamaa ni comedian wa ukweli yaani anakipaji sio kama yule anayejichekesha mwenyewehuyu ni teacher mpamire comedian wa uganda
Ni tofauti kabisaWakinga si ndio haohao Wanyakyusa?
wepi wachawi zaidi?Ni tofauti kabisa
Ndiyo mepesi kutafuta changeMiguu kama miwa
Si ndio Nguo za wakinga. Kina Memba na Andrew MiduIla kiukweli toka wakinga watawale soko la kariakoo yani unaweza ukaenda kutafuta nguo nzuri ya kijanja ukakosa kariakoo nzima. Yani nguo sasa hivi kariakoo zimekua za watu wa mikoani.
Hahaha kumbe Teacher Mpamire ni mnyakyusa duuh! !Mbona n mnyakyusa huyo tena namfaham na jina lake anaitwa Mwajanuary
hivi wewe ni mkinga wa Bulongwa sehemu gani?purple for Royalty and Green for Cash.. yuko vizuri asee
hatareHahaha kumbe Teacher Mpamire ni mnyakyusa duuh! !
Hiyo pensi ya fella uko chini na combination ya miguu yake sio mchezo
wakinga ni balaa![]()
![]()
![]()
![]()
kingaaa hawashikiki
Bulongwa ni Wamahanji sio Wakinga.hivi wewe ni mkinga wa Bulongwa sehemu gani?
wakinga kwao Wapi?Bulongwa ni Wamahanji sio Wakinga.
duhh![]()
![]()
![]()
![]()
kingaaa hawashikiki
Huyu mpamire