Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Vavene hahaha!Hahahaha!!! Mapembelo!!!
Hivi hawa Watu bado wapo Mbeya?umenikumbusha mbali sana matajiri wetu kitambo.Si ndio Nguo za wakinga. Kina Memba na Andrew Midu
Memba alikufaHivi hawa Watu bado wapo Mbeya?umenikumbusha mbali sana matajiri wetu kitambo.
Tofauti mkuu, hayo ni makabila mawili tofautiWakinga si ndio haohao Wanyakyusa?
I love my kinga tribe n my people! We are fighters n born to reign financial breakthroughNdugu hio ni History na sijui,kwa mtu mwenye elimu atatafuta pesa sio kwenda kwa Wanganga,wajinga ndio waliwao.
Nimezaliwa Bulongwa hadi Olevel nimesoma kule,Alevel Mbeya na chuo Dar sijui nasikikia tu hayo majina na ni mfanyabishara hapa mjini.
Njombe, Ruvuma, Iringa na sumbawangaKete ko maso nyambala ngete ngambele,.
Natania tu Bujibuji kumbe watani zetu basi nimekuelewa acha basi.
Sisi ni watawala wenu kiuchumi ukianzia Kyela,Busokelo,Tukuyu,Mbeya,Tunduma,Makambako nk.
Karibu Dar Es Salaam.
I see Mungu amweke mahali Pema, sikujua kabisa nashukuru kwa taarifa asanteMemba alikufa
Njombe, Ruvuma, Iringa na sumbawanga
Ndilinkinga ila born townI love my kinga tribe n my people! We are fighters n born to reign financial breakthrough
Endeleeni kutusema wachawi sie tunaendelea kumiliki na kutawala katika maeneo mbalimbali ya biashara nchini, kwee wisova ndeti
Much love and respectI see Mungu amweke mahali Pema, sikujua kabisa nashukuru kwa taarifa asante
BulongwaNdilinkinga ila born town
Huyo si teacher Mpamire,comedian wa Uganda
Huyu ni Mwalimu bora wa Afrika aka Teacher Mpamire
Mganda kawaiga WakingaHuyu ni Mwalimu bora wa Afrika aka Teacher Mpamire
Huyu ni Vamponji wa BulongwaHuyo si teacher Mpamire,comedian wa Uganda
Truu.bora mtumbani tuIla kiukweli toka wakinga watawale soko la kariakoo yani unaweza ukaenda kutafuta nguo nzuri ya kijanja ukakosa kariakoo nzima. Yani nguo sasa hivi kariakoo zimekua za watu wa mikoani.
wepi wachawi zaidi?
Kwa nini?Wakinga kabila LA ajabu sana