Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Mhh, kwani Mwanza na Shinyanga hawapo? Kwa nini?Njombe, Ruvuma, Iringa na sumbawanga
Mhh, kwani Mwanza na Shinyanga hawapo? Kwa nini?Njombe, Ruvuma, Iringa na sumbawanga
hakuna mkinga mwenye hela ya halali wote washirikina tukaniboa kinyama,watu tunapambana na umasikini na familia zetu wao kupiga majungu na kashfa kwa wasichokijua...
mtoto wa Mwakipande sasa hivi anaendeleza fani ya baba yakeNani amekudanganya (No reseach no right to speak),amefia Makete hakuna cha maana.
Wajinga ndio waliwao.
Hawa nao wakinga eti sweety!
Mapembelo waweneMukonile
Mkuu uwe na uhakika kile unachokisema makabila mengine wavivu kufanyakazi afu wanasema wakinga wachawihakuna mkinga mwenye hela ya halali wote washirikina tu
Vavene,ndetiMukonile
hawa wazee wanapishana sana na wakati
Utungi?Mapembelo wawene
NonuUtungi?
Mtoko wa karne asee
wametishaMtoko wa karne asee