Wakinga kwa fasheni hawajambo

Wakinga kwa fasheni hawajambo

Ndio ujue ni wageni walivamia tu kama wanavyovamia mikoa mingine.
kimsingi hakuna mwenyeji wa makete hata mmoja....... tena pale iwawa palikua pori na kituo cha barafu......... kwaio hata wa mahanji nao sio wenyeji
 
bulongwa huko ndio kina kyando asili yao......... unataka kusema nao ni wa mahanji?
Wamahanji ni Kyando,Luvanda,Mbogela,Fungo,Ngajilo/yilo,Tweve,Sanga,Mvela,Sigala nk.

Wakinga ni Mahenge,Sanga,Mbilinyi,Chaula,wengine nimesahau tatizo mimi Mahanji.
 
kimsingi hakuna mwenyeji wa makete hata mmoja....... tena pale iwawa palikua pori na kituo cha barafu......... kwaio hata wa mahanji nao sio wenyeji
Wamahanji wametoka wapi.

Wakinga wametokea Moro na Njombe.
 
Back
Top Bottom