Umoja wa wakinga Tanzania utaanzishwaaa hivi karibuni kwa Lengo la kuinua na kuboresha uhusiano wa kibiashara!!!
Hii ni kwa ndani na nje ya nchi!!!,ikiwa mkakati MAALUM wa kuvunja taswira na wrong notion zilizo wajaa wenye wivu kuwa mafanikio ya kibiashara ya wakinga huletwa na imani za kishirikina!!!
Ikiwa unataka kuingia katika umoja wa wakinga-Tz basi karibu pm tuanze majukumu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.