Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
- Thread starter
- #181
bho ubhumamanyani bhwene ubhuBujibuji keta kutamya bhanino?
bho ubhumamanyani bhwene ubhuBujibuji keta kutamya bhanino?
Wewe mbona mbishi,mimi nimezaliwa na kukulia Makete(Kipagalo).Soma post yako vizuri halafu uniambie kina SANGA ni Kabila gani?
Fungua link hii usome vizuri.Hayo ndio maneno sasa,
mikoa gani mkuu?labda mashariki na kaskazini,kamwe usithubutu kufananisha ujanja wa kuvaa kwa mikoa ya nyanda za juu na huko mashariki za pwani na kaskazini na mamidosho yenu,utakuwa unafeli sana..Ila kiukweli toka wakinga watawale soko la kariakoo yani unaweza ukaenda kutafuta nguo nzuri ya kijanja ukakosa kariakoo nzima. Yani nguo sasa hivi kariakoo zimekua za watu wa mikoani.
asante sana mjukuu wa MwakipandeFungua link hii usome vizuri.
Kwa wanaohitaji kufahamu kuhusu wenyeji wa Makete pitia hapa.
Unaishi Kandete au Isange.
acha kashfa na matusi ya rejareja,kwahiyo mshua wangu mabasi aliyapata kwa uchawi,katika hiyo orodha hapo kuna mabasi ni ya kwetu ya mzee wangu,na nnajua aliyanunuaje na pesa ilipatikanaje,acha kutaja na kuropoka vitu usivyovijua,masikini kweli mna kazi,utakufa na umasikini wako kazi majungu tu kwa mali za watu,mwambie na baba yako akapewe na yeye mabasi bwege wewe,natamani nikufahamu,ningekukomesha!Mwakipande si ndio alikuwa anagawa mabasi. Embakassy, Victoria, Comfort, Safina, Tunyande, Matema Beach, Upendo wote walipata mabasi kwa Mwakipande
Wakinga kwa ubishi hamjamboHata mimi sijui mkuu
Naona una tatizo la Mental Retardation nimekuambia mimi wa Kipagalo ni Mmahanji,ukifika Kipagalo ukisalimia Mapembelo watakuangalia usoni na kukuuliza "Wewe ni Mkinga".asante sana mjukuu wa Mwakipande
Very hard working with strict financial discipline! Kwa lugha ya tehama ni "minimum configuration"Of course wakinga kuvaa hawajui ni washamba fulani hivii ila pesa wanajua kuisaka sana. Ndeti ndeti mapembelooo
Masikini huyu anatapatapa,wameacha kuomba ushauri jinsi ya kupata pesa kwa Wachaga na Wakinga wao ni kuonyesha ujinga wa ngozi nyeusi.acha kashfa na matusi ya rejareja,kwahiyo mshua wangu mabasi aliyapata kwa uchawi,katika hiyo orodha hapo kuna mabasi ni ya kwetu ya mzee wangu,na nnajua aliyanunuaje na pesa ilipatikanaje,acha kutaja na kuropoka vitu usivyovijua,masikini kweli mna kazi,utakufa na umasikini wako kazi majungu tu kwa mali za watu,mwambie na baba yako akapewe na yeye mabasi bwege wewe,natamani nikufahamu,ningekukomesha!
kaniboa kinyama,watu tunapambana na umasikini na familia zetu wao kupiga majungu na kashfa kwa wasichokijua...Masikini huyu anatapatapa,wameacha kuomba ushauri jinsi ya kupata pesa kwa Wachaga na Wakinga wao ni kuonyesha ujinga wa ngozi nyeusi.
Umasikini unawasumbua sasa wanamlaumu Magufuli wakati hawafanyi kazi.kaniboa kinyama,watu tunapambana na umasikini na familia zetu wao kupiga majungu na kashfa kwa wasichokijua...
Ha!Ha! Bumunda.!Ni kweli.
Ila kama wewe ni Mkinga hebu fanya mpango wa mkate wa Kikinga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Ahahaaaaa mma momumo kikolobho ubhumamanyani bhwene ubhu
Hahaa sio ubishi ni kusimamia unachokiaminiWakinga kwa ubishi hamjambo