Mimi nilikua naona yanatoka kwenye madumu ya Korno, Korie. Ila wana viazi vingi sana.Mafuta mnatumia ya kondoo kukaangia chips
Mimi nilikua naona yanatoka kwenye madumu ya Korno, Korie. Ila wana viazi vingi sana.Mafuta mnatumia ya kondoo kukaangia chips
Yeye mwenyewe alikuwa masikini,usiamini waganga ndugu nao wanasaka pesa,tafuta pesa kuwa bahili mbona utazipata.Mwakipande si ndio alikuwa anagawa mabasi. Embakassy, Victoria, Comfort, Safina, Tunyande, Matema Beach, Upendo wote walipata mabasi kwa Mwakipande
Wewe hujui viazi wanalima wenyewe.![]()
![]()
usiwasingizie bwana, yalikua poa tu. Sasa ukinunua chips za 1000 haumalizi.
Kwa taarifa nilizozikuta ni kua sisi tulikua A level wa pili, wa kwanza walikua 25, mmoja wapo ni huyu Goodluck Gosbert, muimbaji.Ok nilisoma ikiwa na Olevel tu.
Naona unazidi kujitetea ili upate mkate. Huogopi kurogwa![]()
![]()
![]()
hapana hapo nawasifia, kwanza nimetoka kumwambia Nazjaz kua chips za 1000 hamalizi

Mwakipande amekufa akiwa tajiri mkubwa. Nasikia ana apartments kibao Masaki na Mbezi BeachYeye mwenyewe alikuwa masikini,usiamini waganga ndugu nao wanasaka pesa,tafuta pesa kuwa bahili mbona utazipata.
Mhehe una matatizo wewe....
Hapa kapungua maggid Msangu wa Dar Es Salaam



Wanalima alizeti pale jirani Mbeya kuna viwanda vya kukamua alizeti,viazi wanalima wenyewe.Mafuta mnatumia ya kondoo kukaangia chips

Naona unazidi kujitetea ili upate mkate. Huogopi kurogwa![]()
![]()
Naomba uniloge,

Mkojo upi mkuu?Dar nakojoa, Mbeya nakojoa, Iring nako nakojoa![]()
Ok hata sijui hio A level ilianza lini.Kwa taarifa nilizozikuta ni kua sisi tulikua A level wa pili, wa kwanza walikua 25, mmoja wapo ni huyu Goodluck Gosbert, muimbaji.
Mkojo upi mkuu?
Mkuu wewe ni wa kitamboOk hata sijui hio A level ilianza lini.
Hivi ni makabila gani hawajui kabisa kuvaa?Huyo Msukuma wewe umechanganya.
Nani amekudanganya (No reseach no right to speak),amefia Makete hakuna cha maana.Mwakipande amekufa akiwa tajiri mkubwa. Nasikia ana apartments kibao Masaki na Mbezi Beach
![]()
Naomba uniloge,
Naomba uniloge,
Kwani mkate mtamu...![]()
![]()
kaa tayari kurogwaMimi mwenzenu jamani, nimekaa Mwakauta. Naomba unieleweshe.Wewe sio Mkinga ndio mana hujaelewa