Wakinga kwa fasheni hawajambo

Wakinga kwa fasheni hawajambo

Ila kiukweli toka wakinga watawale soko la kariakoo yani unaweza ukaenda kutafuta nguo nzuri ya kijanja ukakosa kariakoo nzima. Yani nguo sasa hivi kariakoo zimekua za watu wa mikoani.
Nguo za kijanja wakati watanzania wengi chali kifedha? nani anaweza nunu LEVIS Jeans mpya ioriginal laki 2 na nusu au sneaker original Adidas laki 3? peleka wewe za kijanja upige business
 
Kuna vicoba moja ipo Mbeya inaendeshwa na Wakinga inadaiwa ukikopa pale kama wewe siyo Mkinga hilo deni hautakuja kulipa.
 
Kuna vicoba moja ipo Mbeya inaendeshwa na Wakinga inadaiwa ukikopa pale kama wewe siyo Mkinga hilo deni hautakuja kulipa.
Acha kutegemea mikopo huwezi kufanikiwa,anza na vibarua uwe na mtaji wako mwenyewe.
Pesa na mabenki na vikoba ni ngumu kufanikiwa.
 
Ni kweli mkuu.
Ndio hivyo,Wakinga wengi ni watu wenye nguvu wanapiga kazi zote wakifanikiwa wanaitwa wachawi.

Ni ngumu kwa Mkinga mwenye akili timamu kuwa na hali mbaya kiuchumi.

Chunguza nyumba za Bulongwa zilivyo za kisasa tena ni watu wa kawaida.
 
Dah halafu mimi nimeenda kugusa ardhi ya pale kisa elimu zaidi ya miaka mitano mbele.
Mkuu heshima yako.
Ndio hivyo kwenye Payroll ya serikali niliingia mwaka 2012.
Jiji la Dar hadi leo niko hapa DSM.
 
Unawezaje kutajirika kwa kuuza chai ya maziwa sh. mia kikombe?
Ndugu watu wanalima mazao na miti,wewe wa wapi nenda Bulongwa kafanye utafiti.

Nipo Dar lakini mzawa wa kata ya Kipagalo,tarafa ya Bulongwa.
 
Back
Top Bottom