mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
hahahaha labda toka mwanzo ulionyesha unazo naye anatumia nafasi.......maisha kushirikishana wakati mwingine yanazidisha upendo kama hakuna unafiki ndani yake
Hata kama, nyie bahili sana kwenye hela zenu bana