Wakinadada ni wabahili jamani

Wakinadada ni wabahili jamani

hahahaha labda toka mwanzo ulionyesha unazo naye anatumia nafasi.......maisha kushirikishana wakati mwingine yanazidisha upendo kama hakuna unafiki ndani yake

Hata kama, nyie bahili sana kwenye hela zenu bana
 
Aisee kwahiyo hata kama nina pesa inabidi nisimuoneshe sasa.baadhi ya wanawake ni ngumu sana kukaa nao.kwanini mtu usiwe flexible tu kama zipo si zetu wote.

kama unazo unaona uchungu gani akizitumia?.......kuna wale ambao wanazo za kawaida wanaongeza na misifa na mwanamke anatumia kuendana na anavyomwona kumbe sio hivyo
 
Aisee kwahiyo hata kama nina pesa inabidi nisimuoneshe sasa.baadhi ya wanawake ni ngumu sana kukaa nao.kwanini mtu usiwe flexible tu kama zipo si zetu wote.

Acha kabisa akishaziona ni shiidaa, anawaza tu matumizi kwa kwenda mbele, tena matumizi yasio ya future tu, kifupi ni mitoko kwa sana, mavazi kwa sana, menu ya nguvu plus other luxurious stuff

cc Blaki Womani
 
Last edited by a moderator:
Hata kama, nyie bahili sana kwenye hela zenu bana

nakubaliana nawe ni wachache sana wanashirikishana mapato yao.......mara nyingi wanaofanya hivyo wanakuwa na maendeleo kama mwanaume hatatumia udikteta
 
Acha kabisa akishaziona ni shiidaa, anawaza tu matumizi kwa kwenda mbele, tena matumizi yasio ya future tu, kifupi ni mitoko kwa sana, mavazi kwa sana, menu ya nguvu plus other luxurious stuff

cc Blaki Womani

hahahaha mito itategemea na uliyekutana naye kuna wa hivyo na kuna wenye kufikiria mbali zaidi
 
Last edited by a moderator:
kama unazo unaona uchungu gani akizitumia?.......kuna wale ambao wanazo za kawaida wanaongeza na misifa na mwanamke anatumia kuendana na anavyomwona kumbe sio hivyo

Mungu aniepushe nisikutane na mwanamke wa design hiyo.
 
hahahaha mito itategemea na uliyekutana naye kuna wa hivyo na kuna wenye kufikiria mbali zaidi

Ila wenye kufikiria mbali ni wachache sana, majority ni show off (mashost waisome namba) kwa kwenda mbele
 
Ila wenye kufikiria mbali ni wachache sana, majority ni show off (mashost waisome namba) kwa kwenda mbele

kweli kabisa kama ambavyo wanaume wa kweli wapo wachache na wanawake pia
 
Wala hamzai kwa uchungu sikuhizi,operation za uzazi zimekuwa kama kunywa chai.

Hhha hiyo operation inauma pia huendi kutekenywa kule chumba cha upasuaj
Na kabla ya operation lazima uchungu usikilizie ni bora kujifungua njia ya kawaida kuliko operation
 
Mhm wee ulishabugi mennnn....mwanaume yoyote lazima ajue kuwa pesa ya mwanamke ni kwa ajili ya yeye peke yake i.e to luk sexy.
Ada ya shule, matibabu, chalula, kumnunulia gari na kutia mafuta, outings, holidays, financial problems za familia yake na mengineyo ni jukumu la wewe mume. Ukilijua hilo wala hutapata presha nao.

Wee kazi yako hapo ni kuhakikisha haleti uzembe kwenye idara yake ya kuwa sexy nd presantable na kutotoa watoto na kuwalea vizuri...huo ndio msaada wa mke.

Cc😡atoto
 
Mi nachokaga kitu kimoja, akiwa peke yake anaishi kwa hela zake mwenyewe ni mbahili balaaa, sasa muoe weeeeee!!! matumizi anafanya kujiachia tu, daaah!!
my kaka. Sasa Hela si zimeongezeka jamani.
 
my kaka. Sasa Hela si zimeongezeka jamani.

No, siyo kuongezeka sista, ni kwamba za kwake 'zinaenda likizo sasa' hazitumiki tena anabaki kujiachia na za kwako tu. Hahaaaa we acha kabisa, wanaume tunalo si kidogo
 
No, siyo kuongezeka sista, ni kwamba za kwake 'zinaenda likizo sasa' hazitumiki tena anabaki kujiachia na za kwako tu. Hahaaaa we acha kabisa, wanaume tunalo si kidogo
Teh Naelewa ulichomaanisha, nilitaka tu ulalamike zaidi. Teh hongera kwa kuwa mwanaume
 
Back
Top Bottom