Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu zangu.
Wanawake jueni wanaume tuna moyo wa nyama na tunaumia sana ni vile tuu hatuwezi kusema hadharani.
Nimeamua kunyamaza ila moyoni na umia sana, mwanamke wangu kasusa kabisa kunitakia hata heri ya mwaka mpya na leo ni siku ya tatu mfukulizo, kasusa kuniombea baraka na anajikuta mjanja tuu ananiumiza sana kihisia ila najikaza mno haijalishi mimi ni mgumu kivipi ila kitendo cha kutokutamkiwa "heri ya mwaka mpya na mwanamke wangu kinaniuma sana moyoni" japo usoni na mchekea ila hamna jinsi. Hatakama sikumpa hela ya sikukuu ya mwaka mpya kitendo chakuto nitakia heri kinaumiza sana
Dada zangu na mama zangu sisi wanaume tuna mioyo natunaumia pia tena sana tuu sema kwa nje hatuonyeshi kama tunaumia ,
Naombeni baraka zenu na ushauri wenu wakuu maana naona kabisa nakosa uvumilivu, haiwezekani kabisa mwanamke wangu agome kabisa kunitakia heri ya mwaka mpya.
Wanawake jueni wanaume tuna moyo wa nyama na tunaumia sana ni vile tuu hatuwezi kusema hadharani.
Nimeamua kunyamaza ila moyoni na umia sana, mwanamke wangu kasusa kabisa kunitakia hata heri ya mwaka mpya na leo ni siku ya tatu mfukulizo, kasusa kuniombea baraka na anajikuta mjanja tuu ananiumiza sana kihisia ila najikaza mno haijalishi mimi ni mgumu kivipi ila kitendo cha kutokutamkiwa "heri ya mwaka mpya na mwanamke wangu kinaniuma sana moyoni" japo usoni na mchekea ila hamna jinsi. Hatakama sikumpa hela ya sikukuu ya mwaka mpya kitendo chakuto nitakia heri kinaumiza sana
Dada zangu na mama zangu sisi wanaume tuna mioyo natunaumia pia tena sana tuu sema kwa nje hatuonyeshi kama tunaumia ,
Naombeni baraka zenu na ushauri wenu wakuu maana naona kabisa nakosa uvumilivu, haiwezekani kabisa mwanamke wangu agome kabisa kunitakia heri ya mwaka mpya.