mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Hizi nguvu za kuanzishia thread bora ungetafutia usingizi... sio kwa wanawake wa humu!!!
Na kweli mkuu............
Hizi nguvu za kuanzishia thread bora ungetafutia usingizi... sio kwa wanawake wa humu!!!
Jibu:-
...
Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.
Ni hayo tu, nawasilisha
Mhnnnn.... Haya bana....Maisha ni kusaidiana..........
Mie kama ninayo huwa natoa
Life is so beautiful If we help each other
Tatizo linaanzia kwa wanaume. Mnajikakamua kwamba mna pesa na mtaweza kumtunza. Sasa akibania hela yake usilalamike. Kuna mambo yanatakiwa kuwekewa utaratibu tangu siku ya kwanza. Mojawapo ni kuhusu kipato na matumizi ya familia. Pesa ya baba na mama ni ya familia, inakaa kwenye POOL, kisha mna orodhesha mahitaji yenu kama familia.
Mkuu unapaka rangi upepo..Hii topic ishaletwa humu zaidi ya mara 9999999 lakini wadada wengi hawaelewi.
Mkuu unapaka rangi upepo..Hii topic ishaletwa humu zaidi ya mara 9999999 lakini wadada wengi hawaelewi.
Mpendwa unaunga mkono kulipiwa kodi ya nyumba na ada????
Sidhani kama mpendwa anaielewa vema biblia inavosema "mwanaume atakula kwa jasho" mueleweshe huyo
Mpendwa mbona umeshangaa sana..Hiki kitu kigeni kwako?...Yani jinsi ulivyouliza ni kana kwamba jukumu la Ada ya watt na Kodi ni la Mzazi mmoja peke yake..Nwei inaweza kuwa hivyo kama hayo ndo makubaliano yenuMpendwa unaunga mkono kulipiwa kodi ya nyumba na ada????
Teh teh..Mpendwa naona unachagua vitu vya kusoma kwenye biblia..Yani ndo umeamua kusoma hapo tu??Sidhani kama mpendwa anaielewa vema biblia inavosema "mwanaume atakula kwa jasho" mueleweshe huyo
Sio wote jamani.Mimi siwezi kusubiri mwanaume afanye kila kitu mwenyewe ndani, kwa sababu nampenda vyote vilivo ndani ya uwezo wangu(financially)huwa navitekeleza nisipo fanya ujue kweli sina hela.
Hayo ya ubahili labda kwenye courtship ndo yanakuwepo ila mtu ambae ni nyama katika nyama zangu siwezi kumfanyia ubahili.Letu lazima liwe moja.
Hizi nguvu za kuanzishia thread bora ungetafutia usingizi... sio kwa wanawake wa humu!!!
Kodi sio emergency bana mpendwa kwamba imekuja bila taarifa unajua kabisa lini unatakiwa kulipa ukisafiri acha mbesa nyumbani au tarehe zikifika tuma mshikoMpendwa mbona umeshangaa sana..Hiki kitu kigeni kwako?...Yani jinsi ulivyouliza ni kana kwamba jukumu la Ada ya watt na Kodi ni la Mzazi mmoja peke yake..Nwei inaweza kuwa hivyo kama hayo ndo makubaliano yenu
So unataka kuniambia Baba yuko safari na ww unatakiwa kulipa kodi utasubiri mpaka arudi?..Au ndo utalipa zen akirudi unamdai..
Teh teh..Mpendwa naona unachagua vitu vya kusoma kwenye biblia..Yani ndo umeamua kusoma hapo tu??
Duuh!!! i wish nije kumpata mke asiye na aibu kama huyo ili nishangae vizuri..Yani unanipigia simu kwa tatizo ambalo liko ndani ya uwezo wako???..Ntakushangaa kwa kweli..Unless hiyo pesa ni tatizo kwakoKodi sio emergency bana mpendwa kwamba imekuja bila taarifa unajua kabisa lini unatakiwa kulipa ukisafiri acha mbesa nyumbani au tarehe zikifika tuma mshiko
Subiri, unaenda kazini either kwa kuajiriwa au kujiajiri?Nasoma vitu vingi na nnavifuata mpendwa, nimepewa kazi ya kuzaa kwa uchungu af nijiongezee tena na kula kwa jasho....hapana bana
Teh teh..Mpendwa basi kasome na Mithali 31:10 na kuendelea zen uniambie kama umeambulia chochoteNasoma vitu vingi na nnavifuata mpendwa, nimepewa kazi ya kuzaa kwa uchungu af nijiongezee tena na kula kwa jasho....hapana bana
Maisha ni kusaidiana..........
Mie kama ninayo huwa natoa
Life is so beautiful If we help each other