Hahaha sawa leo mjanja wewe. Ntakubamba tu
Nikikuambia utakubali..??
Mnanitaja taja hadi napaliwa, haya nimekuja niambie kunani?
Tunakumiso sista ndo maana, ngoja kwanza nimsikilize prezidaa Magufuli kwanza ndo nije vizuri
Nilikumisimo my kaka acha tu, si mmegoma kutoa mchango, acheni nitaabike tu.
Mchango gani tena sista, mbona sijaona kadi?
Mkuu ACAPULCO, kukutana na dada au akina dada wachache ambao ni bahili haimaanishi kuwa akina dada wote ni bahili. Kwa taarifa yako hakuna kumbe ktk ulimwengu huu mwenye moyo wa upendo, huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu kama mwanamke. Mwanamke akimua kujitoa kwako kukusaidia anajitoa kwa moyo wake wote bila ya kutegemea malipo yoyote kutoka kwako wala kugeuka nyuma na kufikiria mara mbili mbili.
Wanaume ni wepesi zaidi kutoa pesa au kusaidia kwa lengo la kuhonga, starehe na anasa lakini linapokuja suala la kutimiza majukumu yao ya kifamilia wao mara nyingi wanakuwa wagumu na hutoa sababu na visingizio kadha wa kadha visivyokuwa na msingi na wengine hudiriki kutumia hadi ubabe ili tu wasitimize majukumu yao ya kifamilia. Ninaposema haya kuhusu wanaume sisemi kuwa wanawake wao ni wasafi 100% na hawana tabia hizi. Tabia kama hizi za kukwepa majukumu ya kifamilia na ubahili usiokuwa na msingi upo pia kwa wanawake lakini idadi ya wanawake wanaofanya hivi ni chache sana ukilinganisha na wanaume.
Ovyoooooo!! Laiti mngejua hela ya mwanamke ilivyo na majukumu makubwa mngeufyata kimyaaaaa!! Nawe olewa uone hela ya mwanamke inavyotumika sio kulalamika tu.
Mkuu nahisi huwafahamu wanawake vizuri tunaowafahamu ndio tunakujuza hiyo kituMkuu ACAPULCO, kukutana na dada au akina dada wachache ambao ni bahili haimaanishi kuwa akina dada wote ni bahili. Kwa taarifa yako hakuna kumbe ktk ulimwengu huu mwenye moyo wa upendo, huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu kama mwanamke. Mwanamke akimua kujitoa kwako kukusaidia anajitoa kwa moyo wake wote bila ya kutegemea malipo yoyote kutoka kwako wala kugeuka nyuma na kufikiria mara mbili mbili.
Wanaume ni wepesi zaidi kutoa pesa au kusaidia kwa lengo la kuhonga, starehe na anasa lakini linapokuja suala la kutimiza majukumu yao ya kifamilia wao mara nyingi wanakuwa wagumu na hutoa sababu na visingizio kadha wa kadha visivyokuwa na msingi na wengine hudiriki kutumia hadi ubabe ili tu wasitimize majukumu yao ya kifamilia. Ninaposema haya kuhusu wanaume sisemi kuwa wanawake wao ni wasafi 100% na hawana tabia hizi. Tabia kama hizi za kukwepa majukumu ya kifamilia na ubahili usiokuwa na msingi upo pia kwa wanawake lakini idadi ya wanawake wanaofanya hivi ni chache sana ukilinganisha na wanaume.
Acha ww mnaitumia kwenye nn kama kila kitu mnapewa,raha ya hela uone matunda yake sasa ww hela yako haionyeshi matunda
Mkuu nahisi huwafahamu wanawake vizuri tunaowafahamu ndio tunakujuza hiyo kitu
Mkuu nahisi huwafahamu wanawake vizuri tunaowafahamu ndio tunakujuza hiyo kitu
Alafu unasema unawajua wanawake!!! Basi rudi darasani
Inamaana unataka kuniambia unafahamu tabia za wanawake wote duniani hadi ufikie hatua ya kusema wanawake wote ni wabahili?
Tabia za wengi zinaendana mkuu