Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
Mi nachokaga kitu kimoja, akiwa peke yake anaishi kwa hela zake ni kibahili balaaa, sasa muoe weeeeee!!! matumizi anafanya kujiachia tu, daaah!!
i second you!
Mi nachokaga kitu kimoja, akiwa peke yake anaishi kwa hela zake ni kibahili balaaa, sasa muoe weeeeee!!! matumizi anafanya kujiachia tu, daaah!!
Anaweza akawa mgumu kwako lakini kuna wakaka na wababa labda kazini kwao hata wakimtania kumuomba anawapa na hata hawadai.
Habari zenu wanajamii forum,
Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.
Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana kuomba kusaidiwa sijui hizo hela zenu mnapeleka wapi jamani.
Hii nimeishuhudia hata kwa kaka yangu mke wake ni mgumu sana inapofika mumewe kaishiwa.
Hata utakuta msichana mnapendana sana ila suala la kutoa ni wagumu hawa viumbe aisee yaani yupo radhi akuachie ulipie kodi nyumba,ulipie watoto ada na mahitaji mengine yeye anauchunaa mpaka ukute mmekabwa sana ndio utaona anajitoa tena kiubahili.
Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.
Ni hayo tu, nawasilisha
Hapa ndo kwenye tatizo yani mabadiliko upande mmoja lakini upande mwingine dhambi,wanataka kuwa mapadri,wawe marais nk,usawa uwe kotekote.Koh koh koh.... Mwanaume aliwekwa kumtunza mwanamke
sikuhizi wachache wanaolewa wakawe wamama wa nyumbani bali unaolewa ukawe msaidizi wengi wenu bado hamjajua au mnajifanya hamjui.Mpendwa unaongelea hilo kwenye u boyfriend girlfriend au kwenye ndoa?. Boyfriend simlei, akikwamaaa ntamtafutia sehemu amazing ya kukopa. Ila kwa mume wangu najiongeza mapema. Maisha magumu haya, sio wanaume wote ni kina Reginald Mengi kwamba wataafford each and everything on their own
Sio wanawake wote, kuna wanawake wanajitoa sana kifedha kusaidia waume zao.
Unajua muhimu ni upendo,na jinsi gani huyo mwanaume anakujali. Mnapokuwa na upendo kati yenu pesa haiwezi chukua nafasi.
Unajua mwanaume ukimpenda mkeo, ukimuheshimu na kujali mbona mwanamke atatoa tu pesa zake. Tena mtashirikiana vizuri kupanga bajeti.
Teh tunajijua bana kuwa sisi ni wasaidizi. Sasa kila mtu ana definition yake ya neno "msaidizi"sikuhizi wachache wanaolewa wakawe wamama wa nyumbani bali unaolewa ukawe msaidizi wengi wenu bado hamjajua au mnajifanya hamjui.
Futa kauli bana..nilishakataa hii tabia ya ku generalize.!!
Hongera kwa kuwa na moyo wa namna hiyo
kwani ni wachache sana huwa wanajitoa kimaso maso.
Koh koh koh.... Mwanaume aliwekwa kumtunza mwanamke
Teh teh..Mpendwa basi kasome na Mithali 31:10 na kuendelea zen uniambie kama umeambulia chochote
Subiri, unaenda kazini either kwa kuajiriwa au kujiajiri?
Duuh!!! i wish nije kumpata mke asiye na aibu kama huyo ili nishangae vizuri..Yani unanipigia simu kwa tatizo ambalo liko ndani ya uwezo wako???..Ntakushangaa kwa kweli..Unless hiyo pesa ni tatizo kwako
Mpendwa unaongelea hilo kwenye u boyfriend girlfriend au kwenye ndoa?. Boyfriend simlei, akikwamaaa ntamtafutia sehemu amazing ya kukopa. Ila kwa mume wangu najiongeza mapema. Maisha magumu haya, sio wanaume wote ni kina Reginald Mengi kwamba wataafford each and everything on their own
Acheni slogan hizo kazi unafanya ya nini kaa nyumbani uwe unasubir mgegedo
Habari zenu wanajamii forum,
Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.
Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana kuomba kusaidiwa sijui hizo hela zenu mnapeleka wapi jamani.
Hii nimeishuhudia hata kwa kaka yangu mke wake ni mgumu sana inapofika mumewe kaishiwa.
Hata utakuta msichana mnapendana sana ila suala la kutoa ni wagumu hawa viumbe aisee yaani yupo radhi akuachie ulipie kodi nyumba,ulipie watoto ada na mahitaji mengine yeye anauchunaa mpaka ukute mmekabwa sana ndio utaona anajitoa tena kiubahili.
Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.
Ni hayo tu, nawasilisha