Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,086
Sasa una wakamata watu wanini na Kesi mmeshinda na bandari mmeiuza?Kama ni kweli, wamechelewa sana kumkamata.
Tena huyo ni kesi ya uhaini moja kwa moja.
Sasa Woga wa nini tena?
Sasa una wakamata watu wanini na Kesi mmeshinda na bandari mmeiuza?Kama ni kweli, wamechelewa sana kumkamata.
Tena huyo ni kesi ya uhaini moja kwa moja.
Unaonekana kuna mahali unaumia, tulia hii sindano lazima ivunjikie kwenye mfupa wako.Wewe Fala hujui lolote kuhusu kazi za Polisi. Nenda Mikumi wakakueleze makosa yao. Usitupotezee muda humu
Huwezi kushitakiwa bila ya kosa hata la kusingiziwa.Sijaelewa
Wapumzishwe Hadi 2027 maana Huduma watakuwa wanapata BureNdugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa watatu hao walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu.
Jitokeze front kama wenzio sio kubwabwaja humu jfWote tunapinga kuuzwa kwa bandari za Tanganyika
Uhaini unaujua wewe?Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.
kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.
kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani
Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
Atajua mbele Kwa mbele,Tanzania sio UlayaMatatizo ya kuishi in a shithole country, police wanapomkamata suspect ni LAZIMA haki yake apewe ikiwa ni pamoja na kuambiwa why anakamatwa, haki zake including kuwa kimya, na anapewa nafasi ya ku contact lawyer wake na ndugu yake(mmoja),watanzania watapiga kelele na kulalama humu, mabadiliko yanapatikana kwenye streets battles, igp ameogopa kivuli chake
Hii ishu inafanana na ya Trump? PuuziMumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.
kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.
kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani
Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Kilichowakuta mashekh ndicho kitawakuta na hao,wapumzishwe Hadi 2030 uzuri kule ndani Huduma ni Bure kabisa .Uhaini unaujua wewe?
Hao masheikh wa Zanzibar walikuwa wakipigania bandari zao mpaka wakakamatwa?
Magufuli hakuwa na ujinga wa kutoa bure rasiliamali zetu watanganyika, usimlinganishe na huyo msaliti toka Makunduchi.
Hizi propaganda na vitisho vya kipuuzi wakati huu hazina nafasi.
Hebu twambie walivyo mchafua! Kwani ni nani amesaini mkataba wa kuuzwa kwa bandari milele?Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
Mbinu ya kuwazuia wasiwakilishe kwa wakati rufani yao mahakama ya rufaaNdugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Wamefeli, bandari zetu zitatafutwa kwa njia zote.Mbinu ya kuwazuia wasiwakilishe kwa wakati rufani yao mahakama ya rufaa
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Mbona nakuumiza bado mapema sana.. pole.Wenyewe walo wapi sasa wakawatoe Mwabukusi na Mdude hapo Mikumi? Au wenyewe wanalala na kushinda JF wakiandika maneno ya jazba?
Wakae kimya kabisa hawa kima. Yaani hao hao Dkt Magufuli alizuia mkataba wa bandari ya Bagamoyo na utoroshaji wa madini na mikataba ya kinyonyaji walimtukana kwa matusi kede kede na kumdhalilisha mpaka kifo chake walishangilia na walitumiwa hata kujaribu kumuua na hatimaye Dkt Magufuli akafariki wakafanya sherehe. Yote hayo Dkt Magufuli alifanya kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake. Leo kaja Dkt Samia, anafanya kwa uzalendo ila hao hao kima wameanza tena. Tujaua mwanzo aliwachekea ili kuchambua kima na ngedere yupi. Sasa ni mwendo wa vichapo tu.Hebu twambie walivyo mchafua! Kwani ni nani amesaini mkataba wa kuuzwa kwa bandari milele?
Heshima mtu anaipoteza mwenyewe kwa matendo yake mwenyewe! Nani aliingia yale makubaliano?Kinachotakiwa heshima irudi mahala pake.
Mna akili za samaki" - kwa sauti ya Amani Karume.
Mkamsaidie sasa sio kuishia kuweka hashtag tweeterWameshaanza kusikilizwa mahakamani? Acha kudandia mambo usiyojua.