Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wewe Fala hujui lolote kuhusu kazi za Polisi. Nenda Mikumi wakakueleze makosa yao. Usitupotezee muda humu
Unaonekana kuna mahali unaumia, tulia hii sindano lazima ivunjikie kwenye mfupa wako.
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa watatu hao walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu.
Wapumzishwe Hadi 2027 maana Huduma watakuwa wanapata Bure
 
Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.

kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.

kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani

Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Uhaini unaujua wewe?

Hao masheikh wa Zanzibar walikuwa wakipigania bandari zao mpaka wakakamatwa?

Magufuli hakuwa na ujinga wa kutoa bure rasiliamali zetu watanganyika, usimlinganishe na huyo msaliti toka Makunduchi.

Hizi propaganda na vitisho vya kipuuzi wakati huu hazina nafasi.
 
Another dark day

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
 
Matatizo ya kuishi in a shithole country, police wanapomkamata suspect ni LAZIMA haki yake apewe ikiwa ni pamoja na kuambiwa why anakamatwa, haki zake including kuwa kimya, na anapewa nafasi ya ku contact lawyer wake na ndugu yake(mmoja),watanzania watapiga kelele na kulalama humu, mabadiliko yanapatikana kwenye streets battles, igp ameogopa kivuli chake
Atajua mbele Kwa mbele,Tanzania sio Ulaya
 
Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.

kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.

kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani

Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Hii ishu inafanana na ya Trump? Puuzi
 
Uhaini unaujua wewe?

Hao masheikh wa Zanzibar walikuwa wakipigania bandari zao mpaka wakakamatwa?

Magufuli hakuwa na ujinga wa kutoa bure rasiliamali zetu watanganyika, usimlinganishe na huyo msaliti toka Makunduchi.

Hizi propaganda na vitisho vya kipuuzi wakati huu hazina nafasi.
Kilichowakuta mashekh ndicho kitawakuta na hao,wapumzishwe Hadi 2030 uzuri kule ndani Huduma ni Bure kabisa .
 
Ni brighter Day bosi. Waache wakapumzishwe. Haiwezekani wanapokea rushwa kuchafua taswira ya rais Dkt Samia na taifa. Ndiyo maana Dkt Magufuli alikuwa hacheki na pimbi, naona Mama Dkt Samia naye sasa ameelewa namna ya kuendesha mfumo. Wawakomeshe kabisa huko waliko, binya sana kende zao ili waseme nani kawapa hela za rushwa
Hebu twambie walivyo mchafua! Kwani ni nani amesaini mkataba wa kuuzwa kwa bandari milele?
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Mbinu ya kuwazuia wasiwakilishe kwa wakati rufani yao mahakama ya rufaa
 
Hebu twambie walivyo mchafua! Kwani ni nani amesaini mkataba wa kuuzwa kwa bandari milele?
Wakae kimya kabisa hawa kima. Yaani hao hao Dkt Magufuli alizuia mkataba wa bandari ya Bagamoyo na utoroshaji wa madini na mikataba ya kinyonyaji walimtukana kwa matusi kede kede na kumdhalilisha mpaka kifo chake walishangilia na walitumiwa hata kujaribu kumuua na hatimaye Dkt Magufuli akafariki wakafanya sherehe. Yote hayo Dkt Magufuli alifanya kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake. Leo kaja Dkt Samia, anafanya kwa uzalendo ila hao hao kima wameanza tena. Tujaua mwanzo aliwachekea ili kuchambua kima na ngedere yupi. Sasa ni mwendo wa vichapo tu.
 
Wao wamesema wameshinda, jamaa wakasema wanakuja kukata rufaa..sasa wanawakamata wa nini? Mbona jamaa wanatumia njia za kistaarabu kabisa japo povu linawatoka wao( kina Tulia na wenzake).

Saa nyingine serikali ndio chanzo cha vurugu..walisema wanaimarisha uhuru wa kutoa maoni lakini inaonekana ni kwa maoni yanayowapendeza wao tu.
 
Back
Top Bottom