Wakili Mahuna: Sabaya hajafungwa kifungo cha nje, ila Kapewa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja

Hawa mwaka Jana walifaulu 16 tu hivyo sishangai Wakili kuwa kiazi kiasi hiki.
Acha dharau mkuu...huyo Wakili hayo maneno yake amelenga wapiga kura wa chama cha mteja wake tena wale Bogus@ sio wale wenye uwezo mkubwa wa kufikiri.
 
Mawakili siki hizi wengi ni Makanjanja sana, wengine Wana file hadi Forged documents Mahakamani ili mradi tu ashinde kesi kiujanjanja welidi hawana kabisa!!
Hizo ni trick za kushinda mdogo wangu....
Kuna Wakili Mzoefu sana Tanzania hadi mchonga alikua anamkubali alisha Cite kifungu cha uwongo mahakamani...hiyo ni katika moja na mbili mdogo wangu, ila Wakili wa upande wa pili alishtuka!!
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.


Chini ya uangaliz ni muhim san maan huez jua anaweza rudia ile mamb ya uvamiz!
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.


washeria wetu hawa janjajanja sana sasa huyu imagine angekuwa mwanasheria wa serikali anawakilisha serikali makesi makubwa nje ya nchi si anatutia hasara ya mabilioni dakikd 0..

sasa serikali inawezekana vipi kutoa amri ya mtu aangaliwe mwaka mzima bila kupatwa na hatia na huku amekiri kosa? stupid....
 
Hizo ni trick za kushinda mdogo wangu....
Kuna Wakili Mzoefu sana Tanzania hadi mchonga alikua anamkubali alisha Cite kifungu cha uwongo mahakamani...hiyo ni katika moja na mbili mdogo wangu, ila Wakili wa upande wa pili alishtuka!!
Kwa kufanya hizo dirty trick zenu ili mshinde kesi inamaana Hakimu au Judge mnawaona Kama wao mamburula tu kua hawajui chochote kile,au mnakua mmewashirikisha before kwenye hizo dirty trick zenu!!??
 
Mwanasheria uchwara huyu. Ndiyo maana mwanzo mwisho kashindwa kumnasua mteja wake kwenye makucha ya sheria. Anaongea upupu huyu mwanasheria.

Kuachiwa huru hakunaga masharti.
Uenda akawa sawa, kwani hujui kama hii kes haikuwah kuanza kusikilizwa tangia ilipatajwa mwaka jana mwezi June? Unakumbuka Sabaya alikufungwa miaka 30 akaenda kata rufaa akashinda? Hiyo kazi alifanya huyohuyo Wakili Mahuna.
 
Hizo ni trick za kushinda mdogo wangu....
Kuna Wakili Mzoefu sana Tanzania hadi mchonga alikua anamkubali alisha Cite kifungu cha uwongo mahakamani...hiyo ni katika moja na mbili mdogo wangu, ila Wakili wa upande wa pili alishtuka!!
Na Mahakama nayo ikamuachia bila kumuadabisha!!! "Ku Cite kifungu cha uwongo Mahakamani is not acceptable! Lying under Oath is detestable by any standard,,,"
 
Kukiri kosa mahakamani kunafuatiwa na kutiwa hatiani halafu adhabu ambayo ni hiyo conditional discharge.
Vinginevyo anaachiwa huru bila sharti lolote.
Kwa nini mtu asiye na hatia yoyote apewe masharti ya kuishi?
Hiyo tafsiri ya mwanasheria Ina ukakasi kwa mtu mwenye kutumia akili ya kawaida.
Kuna wanasheria uchwara kama walivyo wataalam uchwara kwenye fani nyingine.
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.


kwa hiyo kila mhalifu akikiri kosa anapaswa kuachiwa kwa style hii iliyotumika kwa Sabaya?
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.

Au huyo mwanasheria hajitambui au mleta mada amedanganya na wala hakuelewa kilichonenwa na wakili.

Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi.

Halafu eti hajawahi kuwa na rekodi ya uhalifu.

Kwa hiyo hilo kosa la uhujumu uchumi alilokiri siyo uhalifu?

Kama huna uwezo wa kuelewa, usikimbilie kuja JF kuleta upotoshaji.
 
Hawa mwaka Jana walifaulu 16 tu hivyo sishangai Wakili kuwa kiazi kiasi hiki.
Kuna wakati nilikuwa na kesi ya madai. Mdauwa wangu alikuwa na mawakili watatu. Mimi nilismama mwenyewe, na siyo mwanasheria. Lakini mwishowe nilishinda na kulipwa 300m yangu. Kuna wengine ni mawakili jina, unaweza kuwashinda hata usiye somea sheria.
 
Back
Top Bottom