frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 755
- 1,902
Ila walioua 29oct sio magaidi dah hii nchi
Wananchi gani unaowaongelea? Kama Madeleka atapewa kesi ya ugaidi shida nini? Yeye si Wakili bwana?Kwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
Si alisema mama Samiah ni role model wake. Ngoja amnyooshe kwanza.Madeleka haaminiki 50/50 nusu ndugu yao nusu mpambanaji
Wewe ni hasara kubwaacha upotoshaji gentleman,
yule sio wakili maarufu ni wakili mlevi 🐒
Hata wewe utafikiwa tu. Na utahitaji hao wananchi wakutetee. Kamsome PolepoleWananchi gani unaowaongelea? Kama Madeleka atapewa kesi ya ugaidi shida nini? Yeye si Wakili bwana?
hasa waTanganyikaSELIKALI YENYE LAANA YA DAMU ZA WATANZANIA.
gonga IGNORE asiwe anakupotezea mudaWewe ni hasara kubwa
sawa faida 🐒Wewe ni hasara kubwa
Na yule mtumia Kvant vipi?acha upotoshaji gentleman,
yule sio wakili maarufu ni wakili mlevi 🐒
si anasota korokoroni hivi sasa 🐒Na yule mtumia Kvant vipi?
Yupo kizimkazisi anasota korokoroni hivi sasa 🐒
kwa faida ya wadau wa Jf,Yupo kizimkazi
huna haja ya kupiga mayowe jukwaani gentleman kwenye vitu nonsense na useless kama hivyo na itapendeza zaidi 🐒gonga IGNORE asiwe anakupotezea muda
Mijino michafuuu kama anakula mavi ya kuku.
Si leo si kesho ila ipo siku watu watajitoa kwa Sauti na miili yao wataitoa sadaka kwa udhalimu wa serikali hii iliyokataliwa na wananchi,MUNGU wetu soteKwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
Ni kama yupo kazini vile..CDM kuweni nae makini huyu mtu...hata yule Mwenyekiti wenu la baraza la Wadhamini, Mama Mollel, nendeni nae kwa umakini..Haiwezekani mtu alishakuwa KM Utumishi, eti aende tofauti na Serikali..sidhaniMadeleka haaminiki 50/50 nusu ndugu yao nusu mpambanaji
Sawa. Nami nikifikiwa, msinitetee maana nitakuwa nimelitafuta mwenyewe.Hata wewe utafikiwa tu. Na utahitaji hao wananchi wakutetee. Kamsome Polepole
Mi kiukweli huwa inanishangaza sana watu kila uchwao huko kwa wenzetu waangaika na training ngumu za maana kwa elite forces zao kuweza ku counter hiyo terrorism ila huku sasa duh! Sijui tunachukuliaje huo ugaidi.Hizi kesi za ugaidi wanachukulia poa kjmbakia watu, siku magaid original wakipiga tukio ndio wataelewa
Atapewa ya uhujumu uchumiKwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?