WAKILI MAARUFU MADELEKA KUPEWA KESI YA UGAIDI ?

WAKILI MAARUFU MADELEKA KUPEWA KESI YA UGAIDI ?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,116
Reaction score
2,479
Kwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
 
Kwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
acha upotoshaji gentleman,
yule sio wakili maarufu ni wakili mlevi 🐒
 
Kwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
 

Attachments

  • E2J15v45XLSQdTMG.jpeg
    E2J15v45XLSQdTMG.jpeg
    58 KB · Views: 6
  • 1000170151.png
    1000170151.png
    1.7 MB · Views: 5
Kwa kile kinacho onekana kuendelea kukomoa raia yeyote anae enda kinyuma na usawa na haki , Mhimili wa Dola , Mahakama na Polisi wameamua kufungulia kesi za Ugaidi wote watakaoisema serikali ya Samia vibaya. Huku Jeshi la Polisi likiwa kinara kupin point anaefuata wa kupewa kesi ya Ugaidi jambo ambalo wananchi wanalichukia sana.
Kufuatia Mhadhili wa Chuo kikuu kubambikwa kesi ya Ugaidi akiwa anafundisha darasani hali iliyoleta sintofahamu na hofu kubwa kwa walimu wa chuo pia.
Tayari vijana kadhaa wamebambikwa kesi za Ugaidi na Waziri wa mambo ya ndani kasisitiza kua ni MAGAIDI na washughulikiwe.
Mtaani panaendelea kuwepo na wimbi la wananchi wenye hasira kali dhidi ya vyombo vya dola na watawala (maana hawa sio viongozi).
Je panaweza kuibua maandamano makubwa nchi nzima kushinikiza dola itende haki na isitumike kisiasa ?
Hizi kesi za ugaidi wanachukulia poa kjmbakia watu, siku magaid original wakipiga tukio ndio wataelewa
 
Katika ujinga wangu nilijua kesi ya Ugaidi na uhaini ni kesi kubwa sana..

Lakini Tanzania enipa somo pana zaidi Nchi ina zaidi ya magaidi 200 gerezani na bado inahamasisha utalii.
 
Back
Top Bottom