Rwiziringa Tactics
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 887
- 1,847
Mtu anawezaje kutumia Busara zake nje ya Mfumo wa kimahakama kuamua au kutoa maamuzi juu ya Kesi ya Ugaidi inayomkabili mtu ?
Nauliza anawezaje yaani ?
Sisi wana HAI tunataka kesi irudi Mahakamani na iamuliwe kwa misingi ya utawala wa sheria na haki.
Alamsikh.